maiyanga1
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 1,317
- 1,790
Kwa sasa hivi rais Samia yuko kwenye Royal Tour akitengeneza filam ili kutangaza vivutio vya utalii kwa lengo la kuvutia watalii wa nje. Ni jambo jema sana.
Maswali kwenu:
1. Gharama za kutengeneza filamu hiyo ni kiasi gani?
2. Je, gharama hizo zilipangwa kwenye bajeti ya 21/22?
3. Rais ndiye mhusika mkuu, ina maana timu kubwa kutoka Ikulu inahusika, bado ni ya Wizara au na Ikulu pia?
4. Huko nyuma Wizara ilishawahi kuandaa kitu kinachoshabiana na hiki, nakumbuka mwaka fulani kwenye ligi kuu ya Uingereza kulikuwa na matangazo katika uwanja wa moja ya timu zilizokuwa zinashiriki, kulikuwa na mafanikio gani?
Maswali kwenu:
1. Gharama za kutengeneza filamu hiyo ni kiasi gani?
2. Je, gharama hizo zilipangwa kwenye bajeti ya 21/22?
3. Rais ndiye mhusika mkuu, ina maana timu kubwa kutoka Ikulu inahusika, bado ni ya Wizara au na Ikulu pia?
4. Huko nyuma Wizara ilishawahi kuandaa kitu kinachoshabiana na hiki, nakumbuka mwaka fulani kwenye ligi kuu ya Uingereza kulikuwa na matangazo katika uwanja wa moja ya timu zilizokuwa zinashiriki, kulikuwa na mafanikio gani?