Maswali kwa waziri mkuu leo bungeni, mjadala matumizi ya fedha za serekali kuendelea

Arusha Mambo

Senior Member
Jan 27, 2011
174
150
BUNGENI

Kipindi cha maswali na Majibu kwa Waziri Mkuu kitafuatiliwa na muendelezo wa mjadala wa matumizi ya fedha za Serekali, kindly like our radio on TUNEIN Page


Fuatilia.


Wanabodi, Kama kawaida ya siku ya Alhamisi, bunge huanza kwa maswali ya moja kwa moja kwa Waziri Mkuu

Swali la kwanza ni toka kwa Kiongozi wa Upinzani Bungeni.
Mhe. Mbowe " ....Kwa kuwa Katiba inaeleza haki ya kupiga kura ni miaka 18, kwani nini wananchi wananyimwa haki hiyo katika chaguzi ndogo?
Mh Mbowe: Waziri Mkuu kwa nini daftari la wapiga kura halirekebishwi hali inayowakosesha haki wapiga kura wengi kutumia haki yao kikatiba ya kuchagua viongozi wanaowataka.

Mh. Waziri Mkuu: hata sisi tumepata malalamiko hayo kwa namna zetu:

Mh Mbowe: tuahidi kuwa makosa hayo hayatatokea kwa Chaguzi ndogo zijazo:

Mh. Waziri Mkuu: Ahhh siwezi kukuhakikishia moja kwa moja kwa sababu mimi ni mtendaji mkuu wa shughuli za serekali Bungeni sasa nikihakikisha moja kwa moja ninaweza nikawa sijazitendea haki taasisi nyingine katika jambo hili, ila tutajitahidi...
 
Wanabodi, Kama kawaida ya siku ya Alhamisi, bunge huanza kwa maswali ya moja kwa moja kwa Waziri Mkuu

Swali la kwanza ni toka kwa Kiongozi wa Upinzani Bungeni.
Mhe. Mbowe " ....Kwa kuwa Katiba inaeleza haki ya kupiga kura ni miaka 18, kwani nini wananchi wananyimwa haki hiyo katika chaguzi ndogo?
 
Mh Mbowe: Waziri Mkuu kwa nini daftari la wapiga kura halirekebishwi hali inayowakosesha haki wapiga kura wengi kutumia haki yao kikatiba ya kuchagua viongozi wanaowataka.

Mh. Waziri Mkuu: hata sisi tumepata malalamiko hayo kwa namna zetu:

Mh Mbowe: tuahidi kuwa makosa hayo hayatatokea kwa Chaguzi ndogo zijazo:

Mh. Waziri Mkuu: Ahhh siwezi kukuhakikishia moja kwa moja kwa sababu mimi ni mtendaji mkuu wa shughuli za serekali Bungeni sasa nikihakikisha moja kwa moja ninaweza nikawa sijazitendea haki taasisi nyingine katika jambo hili, ila tutajitahidi...
 
Kikao cha 10 cha Bunge kinaendelea na Waziri mkuu anaendelea kujibu maswali.
Kaulizwa kuhusu wakulima wa pamba huko Tandahimba ni lini watalipwa fedha zao?
Jibu:Kasema benki kuu imekubali kutoa mkopo Wa bilioni 54 na fedha hizi zitasambazwa ktk matawi ya benki kwa kuanzia na NMB hivyo vyama vya kukopesha wakulima vipeleke maombi Yao.
TAARIFA:Wananchi wanaodai chenji Yao wameshachoma kituo kidogo cha polisi pamoja na fujo zingine zinazoendelea.
 
Wanajamii nimekuwa nikisikiliza na kutazama kipinda cha maswali kwa waziri mkuu lakini majibu yanayotolewa na pinda huwa hayalingani na cheo chake kwani ni ya kubabaisha sana hayana 'tamko la waziri mkuu' kama ambavyo wengi hutarajia. Waziri mkuu anaogopa nini au nani.
 
Mh Mbowe: Waziri Mkuu kwa nini daftari la wapiga kura halirekebishwi hali inayowakosesha haki wapiga kura wengi kutumia haki yao kikatiba ya kuchagua viongozi wanaowataka.

Mh. Waziri Mkuu: hata sisi tumepata malalamiko hayo kwa namna zetu:

Mh Mbowe: tuahidi kuwa makosa hayo hayatatokea kwa Chaguzi ndogo zijazo:

Mh. Waziri Mkuu: Ahhh siwezi kukuhakikishia moja kwa moja kwa sababu mimi ni mtendaji mkuu wa shughuli za serekali Bungeni sasa nikihakikisha moja kwa moja ninaweza nikawa sijazitendea haki taasisi nyingine katika jambo hili, ila tutajitahidi...
ccm wanaleta janja ya nyani maana wanajua wakiliboresha sasa hivi itakula kwao kwenye chaguzi ndogo...hivi kazi ya uboreshaji wa hili daftari iko chini ya nani?
 
Huyu mzee mi nadhani ni katekista wa jumuiya yake, he is so polite au mwoga au msanii au msaliti wa watz, anapenda kuwaplease watu hata ktk mambo yanayohitaji kauli ya serikali. Amewekwa hapo kama shock absober.
 
huyu waziri mkuu lo!!1 kila kitu mchakato mchakato...ahadi za mwaka juziiii bado zipo kwa mchakato
kuna mmoja kasema ati piga geuza bajeti ya mwaka huu haitapita ha haa haaa!!!
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom