Kwanini polisi waliwapiga watu risasi za moto waka watu wanajiokoa? Wamepigwa watu zaidi ya 3 waliopigwa risasi ya moto tumeokota maganda mawili ya risasi.
Pili kwanini madaktari wa Mount Meru Hospital walipoambiwa majeruhi kutoka mkutano wa CHADEMA walikimbia madaktari wote?
Pili kwanini madaktari wa Mount Meru Hospital walipoambiwa majeruhi kutoka mkutano wa CHADEMA walikimbia madaktari wote?