Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Napenda kuwauliza ccm na msemaji wao wa chama bwana Nape katika uchaguzi. Wa madiwani uliofanyika Jumapili kuna zaidi ya shahada 100 zilikamatwa na wanachama wenu mliowatuma kukupigia kura chama chenu.
Hiki chama bila wizi na rushwa hakiendiii?
Kwanini ulikataa kuzungumzia swala la rushwa kwenye uchaguzi wa vijana na ukawa mkali kunani?
Vipi wale mafisadi mliowapa miezi mitatu na sasa almost mwaka na mpo kimya?
Hiki chama bila wizi na rushwa hakiendiii?
Kwanini ulikataa kuzungumzia swala la rushwa kwenye uchaguzi wa vijana na ukawa mkali kunani?
Vipi wale mafisadi mliowapa miezi mitatu na sasa almost mwaka na mpo kimya?