Maswali kwa JJ Mnyika

Nduka

JF-Expert Member
Dec 3, 2008
8,552
2,359
Natarajia kwenda kumuona bwana Mnyika nyumbani kwao Kimara ikiwa ni kumjulia hali na kubadilishana naye mawazo baada kipindi kirefu kupita (mara ya mwisho ilikuwa mwaka 2005). Kwakuwa humu kuna wakazi wa jimbo la Kibamba ambao wangependa kusikia kitu kutoka kwa mbunge wao, na pia watanzania wanachama wa CHADEMA ambao wangependa kusikia kitu kutoka kwa kiongozi wao, natoa fursa kwa yeyote mwenye swali aniandikie hapa na mimi nikimkuta hali yake inaruhusu nitamuuliza na kuleta majibu hapa. Hii ni katika kusaidiana tu.
 
Siku hizi ana Mke ....na hajihusishi na jinsia moja ........Nenda kwa yule Rc .....
 
Natarajia kwenda kumuona bwana Mnyika nyumbani kwao Kimara ikiwa ni kumjulia hali na kubadilishana naye mawazo baada kipindi kirefu kupita (mara ya mwisho ilikuwa mwaka 2005). Kwakuwa humu kuna wakazi wa jimbo la Kibamba ambao wangependa kusikia kitu kutoka kwa mbunge wao, na pia watanzania wanachama wa CHADEMA ambao wangependa kusikia kitu kutoka kwa kiongozi wao, natoa fursa kwa yeyote mwenye swali aniandikie hapa na mimi nikimkuta hali yake inaruhusu nitamuuliza na kuleta majibu hapa. Hii ni katika kusaidiana tu.
UNAONA SASA AKILI NA MAAMUZI YENU YA MWENDO KASI PASIPO KUFIKIRI KWA KINA, WEWE UNATAKA KUONANA NA MHE. NA HUNA CHA KUMUULIZA WALA KUMUAMBIA CHA MSINGI.. VERY MISERABLE & USELESS CREATURE ONEARTH FOR SURE.
 
UNAONA SASA AKILI NA MAAMUZI YENU YA MWENDO KASI PASIPO KUFIKIRI KWA KINA, WEWE UNATAKA KUONANA NA MHE. NA HUNA CHA KUMUULIZA WALA KUMUAMBIA CHA MSINGI.. VERY MISERABLE & USELESS CREATURE ONEARTH FOR SURE.

Nitamfikishia ujumbe wako pia, subiri majibu hapa hapa
 
Natarajia kwenda kumuona bwana Mnyika nyumbani kwao Kimara ikiwa ni kumjulia hali na kubadilishana naye mawazo baada kipindi kirefu kupita (mara ya mwisho ilikuwa mwaka 2005). Kwakuwa humu kuna wakazi wa jimbo la Kibamba ambao wangependa kusikia kitu kutoka kwa mbunge wao, na pia watanzania wanachama wa CHADEMA ambao wangependa kusikia kitu kutoka kwa kiongozi wao, natoa fursa kwa yeyote mwenye swali aniandikie hapa na mimi nikimkuta hali yake inaruhusu nitamuuliza na kuleta majibu hapa. Hii ni katika kusaidiana tu.
Kwani anaumwa?
 
Hahah nduka we miyeyusho sana... Kwa hiyo hayo yote hapo juu ni maswali utampelekea?
 
Mnyika kwa sasa kachanganyikiwa. Hatakuwa na uwezo wa kujiu maswali yako
kachanganyika kama wewe baada ya kukosa u dc na u ded bado unakazana kujikomba tu hapa jf una bahati TCRA hawakuzima jicho kimchina chako
 
Natarajia kwenda kumuona bwana Mnyika nyumbani kwao Kimara ikiwa ni kumjulia hali na kubadilishana naye mawazo baada kipindi kirefu kupita (mara ya mwisho ilikuwa mwaka 2005). Kwakuwa humu kuna wakazi wa jimbo la Kibamba ambao wangependa kusikia kitu kutoka kwa mbunge wao, na pia watanzania wanachama wa CHADEMA ambao wangependa kusikia kitu kutoka kwa kiongozi wao, natoa fursa kwa yeyote mwenye swali aniandikie hapa na mimi nikimkuta hali yake inaruhusu nitamuuliza na kuleta majibu hapa. Hii ni katika kusaidiana tu.
Jamani taarida za uhakika mnyika amerukwa akili sasa hutaweza kumuona
 
Back
Top Bottom