Kuna tangazo linasema safari zote zitaanzia stend mpya Magufuli. Tangazo linazidi kusema mabasi makubwa wakodishe mini bus kuwasafirisha abiria kuwaleta stend mpya au wawaelekeze abiria kuja Mbezi.
Sasa swali:
1. Anayekwenda Mtwara na yuko Mbagala, naye aje Mbezi? maana tangazo linasema stend zote za Temeke etc zimefutwa
2. Anayekwenda Tanga/Moshi/Arusha na yuko Tegeta aje Mbezi if not so, mabasi yaliyokuwa yanapitia Bagamoyo niliyoyataja hapo juu, mtu wa Tegeta atayapandia wapi? Aje Mbezi?
3. Mabasi ya Tanga/Moshi/Arusha kupitia Bagamoyo yatachukua njia gani kukusanya watu wa Mwenge, Tegeta, Bunju then na kuendelea na safari ya kwenda mikoa hiyo via Bagamoyo? Au wa Mwenge aje Mbezi? Wa Bunju? au mabasi yatatoka Mbezi na kuja na Morogoro road, Ubungo, Mwenge na kuingia Bagamoyo road?
Msaada tafadhali wa maswali hayo.
Sasa swali:
1. Anayekwenda Mtwara na yuko Mbagala, naye aje Mbezi? maana tangazo linasema stend zote za Temeke etc zimefutwa
2. Anayekwenda Tanga/Moshi/Arusha na yuko Tegeta aje Mbezi if not so, mabasi yaliyokuwa yanapitia Bagamoyo niliyoyataja hapo juu, mtu wa Tegeta atayapandia wapi? Aje Mbezi?
3. Mabasi ya Tanga/Moshi/Arusha kupitia Bagamoyo yatachukua njia gani kukusanya watu wa Mwenge, Tegeta, Bunju then na kuendelea na safari ya kwenda mikoa hiyo via Bagamoyo? Au wa Mwenge aje Mbezi? Wa Bunju? au mabasi yatatoka Mbezi na kuja na Morogoro road, Ubungo, Mwenge na kuingia Bagamoyo road?
Msaada tafadhali wa maswali hayo.