O
oloo
Guest
Nimekua nafuatilia mijadala ya computer kwa muda mrefu , lakini kuna vitu ambavyo naona watu haswa nyie mafundi hampendi kujadili au hata kama mkiulizwa basi mnakwepa na kuwaachia watu wengine wajichanganye wakati wataalamu wenyewe mumekaa kimya
Naomba kuanzisha mada hii kwa mara ya kwanza na samahanini kwa kuanzisha mada hii sitaki kugombanisha watu , mie ni mwanafunzi nahitaji kujua .
1 ) Jinsi ya kulinda komputa yangu
2 ) Njia za kuhakiki vitu vyangu ndani ya computer
3 ) Ulinzi wa Ziada katika computer yangu
4 ) njia za kusajili computer yangu
5 ) nikiibiwa computer nifanye nini ? au njia za kufuatia
6 ) mambo mengine mengine kuhusu computer na mitandao
Naomba kuanzisha mada hii kwa mara ya kwanza na samahanini kwa kuanzisha mada hii sitaki kugombanisha watu , mie ni mwanafunzi nahitaji kujua .
1 ) Jinsi ya kulinda komputa yangu
2 ) Njia za kuhakiki vitu vyangu ndani ya computer
3 ) Ulinzi wa Ziada katika computer yangu
4 ) njia za kusajili computer yangu
5 ) nikiibiwa computer nifanye nini ? au njia za kufuatia
6 ) mambo mengine mengine kuhusu computer na mitandao