Eng.Dullah
JF-Expert Member
- Sep 24, 2014
- 372
- 302
Kama ilivyojieleza hapo juu nimeulizwa swali kuhusiana na vitu vya kusoma ili ujiandaa kwenda kwenye interview ya kuandika nimeshindwa, Hivyo kama kuna mtu au watu wanaelewa vizuri kuhusiana na hii fani ya communication and public relation anasaidie japo wapi nianzie kumsaidia.
Mhusika kasoma sociology na kaitwa interview trh6 utumish na wamekuwa wakitoa maswali ya topic husika katika fani.
Mhusika kasoma sociology na kaitwa interview trh6 utumish na wamekuwa wakitoa maswali ya topic husika katika fani.