Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
zito kakiuka katiba ipi?alisema kama swala la umri litakua sio kikwazo akiamini katiba mpya itafanya marekebisho,acha unafiki mkubwa wew
yaani anataka katiba ibadilishwe kipengele husika ili angombee uraisi mbona anaungangania sana kama alivyokuwa anautaka kikwete na lowasa au nae kasha ahidiwa uwaziri mkuu..