Jakaya Kikwete Baadhi ya ujumbe/maoni toka
kwenu: 1."Hello Rais wangu. Serikali
kwa sasa sio sikivu tu bali
imekuwa na upole uliopitiliza
kiasi kwamba wanasiasa
uchwara na wanaharakati
uchwara wanaitumia nafasi hiyo vibaya.Serikali ikiendelea
kuwa kimya katika hili ni
hatari kwa mustakabali wa
Taifa letu. Freedom of speech ni
kubwa mno. Mungu ibariki
Tanzania. Kazi njema." (Max) 2."Sometime people talk
without thinking critically but I
belive you are the best may God
help you and our
nation." (Mathew) 3."Posho za Wabunge toka
70,000 TZS hadi 200,000TZS ni
mzigo kwa wananchi, tafadhali
simamia jambo hili mapema.
Tuangalie na sisi waalimu pia.
Hali yetu ni mbaya sana." (Salim) 4."Ajira baba, ajira. Elimu zetu
hazitufundishi ujasiriamali.
Tunamaliza masomo na kukosa
ajira. Tumejazana mitaani.
Tumia miaka iliyobaki
kututatulia tatizo hili." (Gratian) 5."Hivi suala la umeme
limefikia wapi? Ki ukweli
naona wizara imeshindwa
kupata ufumbuzi wa kudumu.
Mbona tuko nyuma sana?
Hakuna vyanzo vingine?" (Mabula) 6. "Mr. President, I am an
engineer, have some ideas that
can help in solving the
electricity problem. How do I
reach you?" (Sameer) 7."Mheshimiwa Rais pole na
kazi. Hivi suala la Katiba
limefikia wapi? Kwa nini
tunahitaji Katiba mpya?
Naomba usimamie utoaji wa
elimu kuhusu Katiba. Nina wasiwasi wananchi
tutaburuzwa na ninyi
wachache, wanasiasa na
wasomi katika suala la katiba,
wengi hatujui nini kinaendelea.
Asante." (Ibrahim) 8. "Tafadhali dhibiti uhuru wa
kutoa maoni. Imekuwa too
much sasa. Watu wanautumia
vibaya. Ni hilo tu kwa
leo." (Halima) 9."Mpango wa shule za kata
unakosa waalimu makini na
vifaa bora Mheshimiwa Rais,
shule zipo sawa lakini je hizi
changamoto za waalimu na
vifaa zinakabiliwa kwa wakati?" (Sandra) 10. "Hallow Mr President, I
should first congratulate you for
using Facebook media, for this
enables people to interact with
you freely. The Legal and
Human Rights centre have posted a video, depicting
actions of police brutality in
Iringa. I think the police
involved should be brought to
justice." (Abdallah)
kwenu: 1."Hello Rais wangu. Serikali
kwa sasa sio sikivu tu bali
imekuwa na upole uliopitiliza
kiasi kwamba wanasiasa
uchwara na wanaharakati
uchwara wanaitumia nafasi hiyo vibaya.Serikali ikiendelea
kuwa kimya katika hili ni
hatari kwa mustakabali wa
Taifa letu. Freedom of speech ni
kubwa mno. Mungu ibariki
Tanzania. Kazi njema." (Max) 2."Sometime people talk
without thinking critically but I
belive you are the best may God
help you and our
nation." (Mathew) 3."Posho za Wabunge toka
70,000 TZS hadi 200,000TZS ni
mzigo kwa wananchi, tafadhali
simamia jambo hili mapema.
Tuangalie na sisi waalimu pia.
Hali yetu ni mbaya sana." (Salim) 4."Ajira baba, ajira. Elimu zetu
hazitufundishi ujasiriamali.
Tunamaliza masomo na kukosa
ajira. Tumejazana mitaani.
Tumia miaka iliyobaki
kututatulia tatizo hili." (Gratian) 5."Hivi suala la umeme
limefikia wapi? Ki ukweli
naona wizara imeshindwa
kupata ufumbuzi wa kudumu.
Mbona tuko nyuma sana?
Hakuna vyanzo vingine?" (Mabula) 6. "Mr. President, I am an
engineer, have some ideas that
can help in solving the
electricity problem. How do I
reach you?" (Sameer) 7."Mheshimiwa Rais pole na
kazi. Hivi suala la Katiba
limefikia wapi? Kwa nini
tunahitaji Katiba mpya?
Naomba usimamie utoaji wa
elimu kuhusu Katiba. Nina wasiwasi wananchi
tutaburuzwa na ninyi
wachache, wanasiasa na
wasomi katika suala la katiba,
wengi hatujui nini kinaendelea.
Asante." (Ibrahim) 8. "Tafadhali dhibiti uhuru wa
kutoa maoni. Imekuwa too
much sasa. Watu wanautumia
vibaya. Ni hilo tu kwa
leo." (Halima) 9."Mpango wa shule za kata
unakosa waalimu makini na
vifaa bora Mheshimiwa Rais,
shule zipo sawa lakini je hizi
changamoto za waalimu na
vifaa zinakabiliwa kwa wakati?" (Sandra) 10. "Hallow Mr President, I
should first congratulate you for
using Facebook media, for this
enables people to interact with
you freely. The Legal and
Human Rights centre have posted a video, depicting
actions of police brutality in
Iringa. I think the police
involved should be brought to
justice." (Abdallah)