Masultani Hawataki Katiba Mpya

Muke Ya Muzungu

JF-Expert Member
Jun 17, 2009
3,444
264
Wale ambao wamekuwa wakinufaika na katiba mbovu tuliyonayo kwa sasa, wanaanza kuibuka taratibu kuanza kutukejeli. Mwanae mwanasiasa maarufu nchni, Yusuf Makamba, January Makamba, katika kutetea msimamo wa Chama Cha Mapinduzi ambayo hayakubaliana na Katiba mpya alikuwa na haya ya kusema kupitia mtandao wa Facebook

January Makamba
Tuzungumze Katiba mpya. Why is the current one inadequate? Why do we need an entirely new one instead of amending problematic provisions? Are "patches" (amendments) sufficient reason to rewrite the constitution? (USA constitution has 27 amendments). Is the constitution really that critical for development (UK does not have one). What process do we use to determine the contents of new constitution?

January, kwa kifupi ndo moja ya mizigo JK aliyoibeba ndani ya ikulu kwa muda mrefu. alikuwa mshauri, na ushauri wake ulikuwa ni ule wa uendelezi wa usultani wao ambao unaonekana kuanza kuota majani, kwani katiba ya watu wote inakuja wapende wasipende.

January alifikiriwa na wengi kuwa ni kijana ambaye angeleta muamko, lakini hizi alili zake ni za kuendeleza usulutani wa Mzee Makamba na Kikwete kwenye taifa letu. Hawa ni waangamizi wa taifa, wamenufaika sana na ufisadi, kwa hiyo wanachotaka kufanya ni kutukanganya ili waendelee kula na kujikinga dhidi ya sheria. Za mwizi ni 40. Siku 27 zimepita endelea kuhesabu, Malaria nomore, Hela za wahindi zote zitatokea puani.
 
Wananiudhi wale wote wanaosema "Why........??" na kutaka sisi tuwabu maswali yao bila wao kutaka kutuambia "Why not.......???"
 
Wananiudhi wale wote wanaosema "Why........??" na kutaka sisi tuwabu maswali yao bila wao kutaka kutuambia "Why not.......???"

Mr. Zero, wala usihudhike. Hao ni wale vitoto vya mafisadi. Wanadhani nchi ni ya mama zao, hasira zetu zitawamaliza siku moja wakiamka wnaikuta nchi haikaliki
 
Wale ambao wamekuwa wakinufaika na katiba mbovu tuliyonayo kwa sasa, wanaanza kuibuka taratibu kuanza kutukejeli. Mwanae mwanasiasa maarufu nchni, Yusuf Makamba, January Makamba, katika kutetea msimamo wa Chama Cha Mapinduzi ambayo hayakubaliana na Katiba mpya alikuwa na haya ya kusema kupitia mtandao wa Facebook

January Makamba
Tuzungumze Katiba mpya. Why is the current one inadequate? Why do we need an entirely new one instead of amending problematic provisions? Are "patches" (amendments) sufficient reason to rewrite the constitution? (USA constitution has 27 amendments). Is the constitution really that critical for development (UK does not have one). What process do we use to determine the contents of new constitution?

January, kwa kifupi ndo moja ya mizigo JK aliyoibeba ndani ya ikulu kwa muda mrefu. alikuwa mshauri, na ushauri wake ulikuwa ni ule wa uendelezi wa usultani wao ambao unaonekana kuanza kuota majani, kwani katiba ya watu wote inakuja wapende wasipende.

January alifikiriwa na wengi kuwa ni kijana ambaye angeleta muamko, lakini hizi alili zake ni za kuendeleza usulutani wa Mzee Makamba na Kikwete kwenye taifa letu. Hawa ni waangamizi wa taifa, wamenufaika sana na ufisadi, kwa hiyo wanachotaka kufanya ni kutukanganya ili waendelee kula na kujikinga dhidi ya sheria. Za mwizi ni 40. Siku 27 zimepita endelea kuhesabu, Malaria nomore, Hela za wahindi zote zitatokea puani.
Ni afadhali ushauriwe na mbung'o unaweza ukafanya la maana kuliko january au babaye.
 
Back
Top Bottom