Masturbation, mwezi huu umejichua mara ngapi??

OCC Doctors

Senior Member
Jul 20, 2018
104
151
Mara nyingi wanaume wanaojichua [masturbation] ni wale ambao hawana wanawake, Wanaume wengine hawajichui kwasababu wamepoteza hamu ya tendo la ndoa [sex]. kutokana na mapungufu ya hormone ya kiume [testosterone], au msongo wa mawazo [stress], au unywaji wa pombe [alcohol consumption], au maradhi ya kisukari au udhaifu wa afya kwa ujumla [poor general health]
-Mwanamke huwa anahuzunika sana akigundua kwamba mpenzi wake anajichuwa

STOP MASTURBATING
mh-masturbation2-shutterstock-26128165-1487212089.jpg
.
 
Back
Top Bottom