Hongera kwa kufanyia kazi ushauri. Pasaka ikiisha tunaweza kushauriana ujaribu biashara ganiNakushkuru sana kwa kutumia muda wako kunishauri.
Hongera kwa kufanyia kazi ushauri. Pasaka ikiisha tunaweza kushauriana ujaribu biashara ganiNakushkuru sana kwa kutumia muda wako kunishauri.
Umenitisha nikajua Sumbai mwenyewe MTU pekee aliye fair ni Madam Diana AbiaHahahaha kuna sumbai na kireri
Kuna mr franks.
Lol i miss ud
Yule mama alikuwa anamiguu mizuri saana dah nilisikitika alipo olewa.Umenitisha nikajua Sumbai mwenyewe MTU pekee aliye fair ni Madam Diana Abia
Dah mchomeYule mama alikuwa anamiguu mizuri saana dah nilisikitika alipo olewa.
Yan sikuwah kumis lecture zake. Siti za mbele.
Kuna kiherehere mmoja alikuwa anaitwa mchome.
Hahaha lutatenekwa kila siku maik inamgomea yan hatusikiii anachokizungumza. Kazi yake ilikuwa kusoma desa.Dah mchome
Kifyasi
Madam Komba
Babu Sago
Rutatenekwa
Hizi people hatari Sana
Sema kuna Dr mmoja anafundisha course ya third year yupo peace Sana hata Dr Mihanjo yupo poa
Asante ndugu, ntakucheki kwa ile namba.Hongera kwa kufanyia kazi ushauri. Pasaka ikiisha tunaweza kushauriana ujaribu biashara gani
Wee una determination GANI???Ndugu zangu, nna mpango wa ku apply masters ya history hapo UDSM ila sasa kabla sijafanya maamuzi naomba niulize swali kwa walio wahi kusema masters ya history au masters nyingine yoyote.
-Wanasema masters ni ngumu sana. Ugumu wake uko wapi hasa ?
-Masters inasomwaje ? Inasomwa kama bachelor au kuna mambo mengi ya zaidi yanaongezeka ?(zaidi ya lectures & course work).
-Ili ni-qualify kusoma masters, napaswa kuwa na GPA ya ngapi ?
Natanguliza shukrani.
Mkuu naona unatu enjoy na kaPhD kako kakupigana kufa kupona na maprof wa history kwaiyo unaendeleza ubabe kwa wanafunzi?.Afu nasikia hana mtoto kwel Mungu fundi bana.Hahahaha kuna sumbai na kireri
Kuna mr franks.
Lol i miss ud
Embu tupe mrejeshoWatu wengi wanasema hivyo.
Halafu nimeona kusoma masters haina maana saana kwa sasa. Nilichoamua ni kutafuta ajira tu na kufanya biashara ndogo.
Kula kimasihara haiitaji diplomaUzi bora kama huu comments huwa ni chache sana lkn nenda kwenye nyuz zile za mambo ya kula kimasikhara daaah, watu wanatililika
Kujisumbua tu tafuta pesa na degree iyoNdugu zangu, nna mpango wa ku apply masters ya history hapo UDSM ila sasa kabla sijafanya maamuzi naomba niulize swali kwa walio wahi kusema masters ya history au masters nyingine yoyote.
-Wanasema masters ni ngumu sana. Ugumu wake uko wapi hasa ?
-Masters inasomwaje ? Inasomwa kama bachelor au kuna mambo mengi ya zaidi yanaongezeka ?(zaidi ya lectures & course work).
-Ili ni-qualify kusoma masters, napaswa kuwa na GPA ya ngapi ?
Natanguliza shukrani.
Hafu huyo sumbai alikuwa na hasira mda woteMara paap supervisor Dr.Sumbai Jamaa ana roho mbaya sijawah ona,, utajua elimu n biashara which is which?.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hafu hajui kufundisha huyo sumbai ana hasira huyo ka mbogo aliyejeruhiwa na simbaHahahah dah huyu Sumbai sitamsahau kabisa kidogo anirudishe September conference huyu jamaa the way alivyo na masendozi yake hajijari kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Master's Napo Kuna supplemary ka kawaida ukikamatwa, na ukipata c kwa masters umefeli lazima September conference ikuhusu, ufaulu unaanzia 50 kwenda juuWe!! Naomba kujua kwani Masters nayo ina SUP Kama ilivyo Degree au hiyo September conference ni nini maana kwa Degree ndio wakati huwa SUP zote hufanyika thus a way waitaga September conference
Sent using Jamii Forums mobile app