Hello guys naomba msaada wa kimawazo katika course hizi mbili interms of area of specialization, job opportunities, vyuo vinavyotoa hizi course na ada (tuition fees).
MUHAS wanatoa hizo kozi nadhani kwenye website yao watakua na fee structure. Ila ni Masters of science in Microbiology na Msc. Biochemistry. Msc micro itakupa nafasi ya kufanya tafiti zinazoendelea kwa sasa kama zinazohusu antimicrobial resistance. Kawaze pia kufanya Msc. Parasitology & medical entomology kuna tafiti nyingi za Negleted Tropical Diseases zinaendelea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.