Kelvin R Nyello
Member
- Jul 15, 2018
- 61
- 126
Wakuu,
Moja kwa moja kijana wenu nimekuja kuwauliza wana jf, Wabovevu na akili kubwa, naomba kufahamu kuhusu michongo ya hii Master ya Project Management.
Je, kwenye soko la ajira ina fursa?
Moja kwa moja kijana wenu nimekuja kuwauliza wana jf, Wabovevu na akili kubwa, naomba kufahamu kuhusu michongo ya hii Master ya Project Management.
Je, kwenye soko la ajira ina fursa?