Master Jay wa BSS unaboa

Katoka aisee labda soko litaamua huku nje maana pale imeshindikana ila ukweli ubaki kwa sasa waimbaji wanajitahidi sana ila kale ka marasta mengi nadhani kanaweza kuibuka kashindi au huyu mwana hip hop
Yahh kametoka. Huyo marasta makubwa ndo mshindi hyo
 
Siku ambayo majaji walikuwa wamelewa, Master Jay anaropoka hovyo. Eti mzungu kitu gani, ndiyo niliona sisi ngozi nyeusi pia ni tatizo. MJ na Rita siku ile walionesha ubaguzi wa waziwazi, ni bora Salama mara elfu.
Huyo Mj anaropokaga kama sio mwanaume mwwnye wtt wakubwa
 
Siku niliyoacha kuangalia BSS ni siku ile nilipoona ubaguzi wa rangi wa waziwazi. Jopo zima la majaji.

Sikumbuki ilikuwa ni mwaka gani, ila nachokumbuka ni mzungu kushiriki tena alikuwa anapendwa mno hata tano bora akafika. Kilichomponza ni rangi yake, majaji hawakumpenda pia.

Yaani jamaa akawa akiimba anamaliza, cha kukosoa wanashindwa zaidi ya kumwambia maneno mabaya. Ikiwemo "Unajua wewe ni mjanja sana, umechagua nyimbo zinazopendwa tu na mashabiki" "Mashabiki wanachanganywa tu na hiyo rangi yako, wakitokwa na hali hiyo hawatakushangilia kabisa"

Yaani huwa tunalalamika ubaguzi kwa wenzetu akibaguliwa mwenzetu. Ila tunasahamu sisi ni wabaguzi kuliko.

Ukweli mchungu lile shindano Mzungu alishashinda kwa kura na hata uimbaji, kulifanyika figisu. Ndiyo nikaacha kuangalia hadi leo hii.

Hakuna cha kutafuta vipaji wala nini, wanapanga ashinde nani hata kama hana vigezo.
Washenzi tuu wale panya.Hakuna cha Madame Ritta wala master kumchuzi.Shindano la kindezi ambalo hata paka hawezi kulivumilia.Tukibaguliwa twajiona wanyonge.Kumbe nasi twabagua wenzetu.
 
Afadhali club raha leo ya TBC sema inabidi wapate watangazaji wa kileo sio wale waki zamani hawana mvuto kabisa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom