Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 481
Kiukweli hiyo BSS ni magumashi tu! Sijaona hata mmoja aliyetoka kimaisha baada ya kuwa mshindi!
Usanii tu!
Usanii tu!
Kuna jaji alikuwepo kabla ya Kitine, miaka ile inaanza anza, yule jamaa alikuwa mhindi na kwa kutokea kwenye namna alivyokuwa akisahili alionyesha kuwa mjuaji sana wa music.. Kwa nini usiwe unahusisha majaji wengine wataalamu wa muziki toka Bagamoyo ili kuwa objective & transparent? why always rafiki zako akina master J na Salama ambaye hana sifa yoyote na muziki isipokuwa kuwashushua watu walivyovaa au kuwambia watafute kazi nyingine lugha za kihuni sana kwa vijana wanaotafuta kujiendeleza kimziki.
Tunazikubali lakini si kwa kiwango kikubwa cha uchakachuaji kama wanavyofanya. Hakuna mtu mwenye akili timamu asiye na masilahi yoyote na mshiriki yoyote anayeweza kukubali kwamba Norman alistahili kutolewa jana. Hata kwenye danger zone hajaingia then from no where wanamtoa.
Ndio maana nakubaliana na hoja ya Kibunango kwamba ni muhimu kuwepo na screen inayotuonyesha votes counts vinginevyo hakuna maana ya kusema wanatafuta vipaji kumbe wanawatafutia ulaji watu wao. Hii inawakatisha sana tamaa vijana ambao wana vipaji vya kuimba na wamekuwa wakipoteza muda wao mwingi kushiriki BSS.
Huyu madam Rita asiye na hata mume mnampa kichwa. Huyu ni chakula ya wakubwa na kuwadi wao kama Rahma Kharoos "rais' wa kampuni la mafuta la mkuu ambaye amemgeuza nyumba ndogo. Siku ya mambo yao kuwekwa hadharani mtashangaa. Kwani Bongo kuna wafanya biashara au wasanii tu? Ipo siku mtajua uchafu wao na mtashangaa waliwezaje kuwazuga muda wote huo.
Ila siku alipotoka Norman niliumia sana, lakini siwezi kulalamika kwa sababu sikupiga kura. Hata hivo kati ya wote waliobaki, hakuna anayemfikia yule dogo hata kwa mbali tu. Utabaki kuwa ukweli hata kama ametoka.