matumbo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 7,225
- 3,944
Mngejua wala msingeangaika na izi sanaa za wabongo..sikujua kama kuna great thinkers wanafatilia huu usanii.."umeimba vizuri sana nitakupa ofa ya kurekodi wimbo mmoja kwenye studio yangu"-Master Jay...watu eeeeeeh unaona mpaka masta jei kamkubali...waulize waliowai kupewa izo ahadi mpaka leo kama wameshawai kurekodi ngoma zao..
Kipanya nae akirudia usanii wake wa awali aliowafanyia washiriki wa MaishaPlus hakika kipindi kitakufa tena.
Kipanya nae akirudia usanii wake wa awali aliowafanyia washiriki wa MaishaPlus hakika kipindi kitakufa tena.