Master j jana kachemka vibaya bss

wagagagigikoko

Senior Member
Dec 5, 2010
163
49
KAMA KUNA SIKU NIMESHUHUDIA MADUDU YA WAANDAAJI WA BSS BASI NI JANA YAANI HAWAKUWA REALISTIC KABISA WALISHINDWA HATA KUDHIBITI NDIMI ZAO. TUMEZOA KUMUOANA MAADAM SALIMA AKICHEMKA KUPITA WOTE LAKINI JANA MUUH ALIYECHEMKA ZAIDI NI MR J, KWA KWELI JANA ALIONESHA UJINGA WAKE WOTE NA UKOSEFU MKUBWA WA ADABU NA UFAHAMU. MFANO, AKIWA KAMA JAJI TUYEDHANI ANGEKUWA NA UVUMILIVU KWA AUDIENCE YEYE ALISHINDWA KUVUMILIA MAPENZI YA MASHABIKI NA KUISHIA KUANZA KUWATUKANA ETI MASHABIKI WASHAMBA KISA TU WANAMKUBALI PYEN (MSHIRIKI MZUNGU). KWA KWELI NIMEMZARAU SANA MR J, HAWEZI KUAMINI NA KUSHIMU CHAGUO LA WENGINE KISA TU HAWakubaliani ni anachopenda yeye. NASHIWISHIKA KUAMINI KUWA HATA MATOKEO YALIPANGWA NA KAMA SI NGUVU YA MASHABIKI MZUNGU WA WATU ANGETOKA KAPA YAANI KAMA UCHAKACHUAJI WA CCM NA UMEYA ARUSHA
 
Nishasema bongo kila kitu bush-league....si burudani, si sheria, si uganga, si uhandisi.....you name it and it's bush-league
 
Ndio bongo bana ukipata nafasi ya kuongea, utaongea hata yasiyoongewa,
 
Kwanza mie nashangaa Mashindano yalisha prove failure toka yanaanza sasa sijui hata hao wanaoyakuza nadhani na wao wana matatizo
 
Nadhani kuna tatizo la kutoheshimu kazi., ukiona mtu analewa kazini maana yake haishemu hiyo kazi na hataki maendeleo, Mwl. Jk aliwahi kusema "Kazi ndiyo msingi wa maendeleo"
 
Ni bahati mbaya kama judges wanalewa katika shindano kama hilo la kitaifa.Nadhani kuna haja ya kuwa makini sana.Waziri Dkt.Nchimbi si alikuwepo pia?
 
Wlitaka iwe kama X-Factor ya Uk?bado sanaa
Madam mwuulizie mtu anaitwa Simon Cowel akupe ujanja
 
Hao wafadhili wao waweke masharti ya vigezo vya ujaji. Wametia aibu nje na ndani ya nchi. Pamoja wanajivunia Peter Msechu lakini nadhani Msechu katoka kwa nguvu zake mwenyewe na mafunzo ya kitaalamu ya academy ya tusker
 
Back
Top Bottom