Ni chatoKwa hiyo picha mbona sioni dalili kuwa hapo ni serengeti
..inawezekanaNi chato
Hahaaa wachina nao ni watalii duh!!Serengeti imetwaa tuzo ya mwaka 2019 kwa vivutio vya utalii africa...
Wageni takribani 300 kama sio 600 waliingia toka china kwa mkupuo... Na sasa tunaenda ktk high season kwa maana ndio msimu Wa utalii sasa
Watalii wanafulika msimu huu huko serengeti, ngorongoro, tarangire...
Mkuu naomba picha moja ya viongozi wa upinzani asa CHADEMA wakiwa kwa Babu wa Loliondo Samunge wakinywa kikombe..maana inawezekana ndiyo maana mpaka leo wamekua kama vichaa,waroho,wanavisasi nk.Tanzania Taifa lililobarikiwa sana.
Kweli maana bila yeye hizo mbuga zisingekuwepo apa nchiniMatunda ya uongozi wa Dr John yanazidi kuonekana
Acha ujinga Serengeti hapo..inawezekana
Siyo chato tena?Acha ujinga Serengeti hapo
AkifaKweli maana bila yeye hizo mbuga zisingekuwepo apa nchini
Ni chatoSiyo chato tena?
Ok.Ni chato