Mastaa wa soka kutoka ulaya Frenkie De Jong, Gonzalo Higuani na Moussa Sissoko watembelea mbuga ya Serengeti

1130878

Kiungo mpya wa Barcelona Mholanzi Frankie De Jong na mpenzi wake Mikky Kiemeney, wametembelea mbuga za wanyama za Serengeti hapa nchini.

Aidha, zipo taarifa pia za Mshambuliaji, Gonzalo Gerardo Higuaín anayeichezea Chelsea FC kuwepo nchini akitembelea vivutio mbalimbali
 
Serengeti imetwaa tuzo ya mwaka 2019 kwa vivutio vya utalii africa...

Wageni takribani 300 kama sio 600 waliingia toka china kwa mkupuo... Na sasa tunaenda ktk high season kwa maana ndio msimu Wa utalii sasa

Watalii wanafulika msimu huu huko serengeti, ngorongoro, tarangire...
Hahaaa wachina nao ni watalii duh!!
 
Tanzania Taifa lililobarikiwa sana.
Mkuu naomba picha moja ya viongozi wa upinzani asa CHADEMA wakiwa kwa Babu wa Loliondo Samunge wakinywa kikombe..maana inawezekana ndiyo maana mpaka leo wamekua kama vichaa,waroho,wanavisasi nk.
 
Haya mambo yanaumiza sana wakenya
Lazima wa edit ionekane hao masta wapo kenya
 
Back
Top Bottom