Masta wa bongo hovyo sana.

kitalolo

JF-Expert Member
Dec 4, 2006
1,827
707
UTASEMAJE MME WAKO ANACHOKONOLEWA ANAJUA MAANA YA KUCHOKONOA!


MAIMARTHA: WAMESHAANZA KUMCHOKONOA MUME WANGU - Global Publishers


Na Gladness Mallya

MTANGAZAJI wa Kituo cha Runinga cha TBC1, Maimartha Jesse ameeleza kusikitishwa kwake na baadhi ya watu wasioitakia mema ndoa yake kwa kuanza kumchokonoa mume wake kipenzi, Shaa.

Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni Maimartha alisema kuwa, kuna watu ambao mara kwa mara wanamtumia sms za kumponda mume wake huyo wakieleza kuwa, eti hawaendani na ‘ameingia chaka'.

Alisema kuwa, kibaya zaidi mumewe amekuwa akizisoma meseji hizo lakini kwa bahati nzuri ni muelewa hivyo hakasiriki badala yake humtaka kuzipuuza kwani zinatumwa na watu wasiowatakia mema.

"Wapo watu walionitabiria mabaya na sasa yanawageukia, wapo pia wengine bado wananifuatilia wanataka kuivunja ndoa yangu lakini nawaambia watashindwa,nampenda mume wangu na naamini tutadumu," alisema Maimartha.
 
aisee siku zote shaa nilijua ni mwanamke tena mmbea na kichenchede kumbe mme wa mtu....abadili jina bwana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom