Nenda pale colloseum ,am not sure spelling ziko sahihi
Wako vizuri mpaka basii mkuu
ataweza kulipa dola 100 kwa saa??
Za mchana jamani.
Naombeni kunijuza sehemu nzuri za kupata massage therapy kwa hapa Dar,
ukiweza kuweka na gharama nitashukuru sana na pia sehemu zilipo.
mbona majibu cpati nami naondoka j tatu kwenda arachugaaaaaaaaaaaaa
Za mchana jamani.
Naombeni kunijuza sehemu nzuri za kupata massage therapy kwa hapa Dar,
ukiweza kuweka na gharama nitashukuru sana na pia sehemu zilipo.
jamani kimya nisaidieni