Massage ni danguro lililochangamka

Nawasalimu!

Basi bhana siku ya ijumaa nimekaa Zangu ofisini mwili unaniuma sana,kuanzia kiuno mpaka mgongo,nikawaza nitafute sehemu nifanye massage.

Nikaingia Instagram kufatuta page zinazofanya huduma hizo nikabahatika kuipata moja iliyojirani na mitaa yangu,nikawacheki wahudumu kwa simu yao wakaniambia massage elf 30 wakanielekeza walipo huyo nikajongea mpaka maeneo hayo mdogo mdogo.

Nilipofika nilipokelewa na mabinti wawili nikasamiliana nao then nikaoneshwa room ya kwenda.Kufika kule nikavurishwa nguo nikabaki na kitaulo nikaanza kupewa huduma,nilichokigundua huduma zile hulenga pia kukuamsha kihisia ili wachote pesa zako,kweli bhana nikakandwa mgongon then nikageuzwa mbele Sasa daah mtoto akacheza mwili kuanzia chini akawa anakuja juu mpaka ikulu akaanza kuimassage Mimi namcheki tu, badae kahamia sehemu za juu ingawa hakuchukua mida akarudi tena ikulu kwa Sasa alicheza Napo mpaka ikulu ikanengewa "mnara".

Then akajisemea haya nishamaliza Ila Kama unataka tunaweza kuubomoa huo "MNARA"either kwa kufanyishwa masterbation au blow job na hapo masterbation ananiambia 20, blow job 30 daah kiukweli sikuitaji kufanya huduma ya zaidi iliyonipeleka ingawa haikuwa rahisi Ila nilikomaa kibishi nikaenda na MNARA wangu mpaka home,wakati niko pale walikuja wateja wengi sana nikawa nawasikia wanavyogugumia uko nikajua kinaumana uko...

Kwa yale niliyoshuhudia nikapata jibu kuwa massage ni DANGURO lililochangamka na usipokuwa makini utapigwa sana ela utashituka akili ikikurudia,Ila nitaenda next weekend nitajaribu blow job nije kuwapa mrejesho.
Hata baadhi ya baber shops ni danguro lililo changamka...
 
Wakuu wapi leo? Twendeni huku tukapate kuifanya misuli. Zingatia neno "kila kituu" irelax
Screenshot_20211105-125911_Instagram.jpg
 
Kweli wanaume tunatofautiana mno, hivi inakuwaje mtu unanunua huduma ya changudoa asiye na mapenzi nawe ili akuridhishe kwa sekunde tu? Mtu kishapigwa mboo kibao kwa siku ile na kumwagiwa shahawa pamoja na kunyonya mboo za kila aina, wewe zuzu eti unakwenda na kumnyonya ulimi na kuingia pale pale walipotoka wenzako, hajabu sana
Nani kakuambia changu ananyonywa denda?..na nani kakuambia changu anakojolewa ndani hovyohovyo hivyo??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni danguro kabisa, ajabu yake ni kwamba, wale wanaofanyia watu massage asilimia 70 wameathirika na wamejizila. na hawatumii groves. na ukiomba happy endings wanakupa. upo hapo? Ni watu hatari sana hao na wakimbie kwa mbio zote.
Mkuu usidanganye umma, binafsi zote nilizoenda huwa nawajaribu happy ending bila zana wanagoma kabisa, na ndio kipimo changu akikubali bila kinga namtema. Wale hawatoi mzigo kama hujavaa kiatu mguu mmoja. Ukiona anatoa bila kiatu kanywe PEP
 
Pole sana Mzee, Hii kitu ngumu sana japo sijawai kuajaribu ila hawana tofauti na danguro
 
Kuna dada mmoja aligundua mume wake ni mteja mzuri wa massage parlour, alichofanya kwa siri alikwenda kuomba kazi lakini alikua mkweli alisema hana experience. Walimpa wiki moja ya training baada ya training hakurudi tena alianza kumfanyia mume wake nyumbani.
 
Back
Top Bottom