Haya madaktari waliona watu wanakufa na vigogo wanapelekwa India kwa sababu ya vifaa duni hospitali za Taifa, wakaona hapana.
Sasa kwa upande wa secondary za serikali hasa za kata, wanafunzi wanafeli sana.
Kwanza mishahara midogo ya waalimu na pia inachelewa.
Huduma mbovu, hakuna madawati, msongamano wa wanafunzi.
Maabara hakuna
Watoto wa vigogo wanasema St st na nje ya nchi.
Waalimu wanakosa morali ya kufundisha badala yake wanafikiria njia mbadala za kupata kipato.
Waalimu wengi wamekopa sacos, benki na wamefungua maduka, na wamenunua taxi.
Hivyo wanafunzi wanafeli.
Hiyo ni sawa na mgomo baridi ambao ni mbaya zaidi kuliko mgomo kamili
Sasa kwa upande wa secondary za serikali hasa za kata, wanafunzi wanafeli sana.
Kwanza mishahara midogo ya waalimu na pia inachelewa.
Huduma mbovu, hakuna madawati, msongamano wa wanafunzi.
Maabara hakuna
Watoto wa vigogo wanasema St st na nje ya nchi.
Waalimu wanakosa morali ya kufundisha badala yake wanafikiria njia mbadala za kupata kipato.
Waalimu wengi wamekopa sacos, benki na wamefungua maduka, na wamenunua taxi.
Hivyo wanafunzi wanafeli.
Hiyo ni sawa na mgomo baridi ambao ni mbaya zaidi kuliko mgomo kamili