Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,192
Nguli wa vibonzo, ndugu Masoud Kipanya amedai tatizo kubwa la Viongozi ni ufupi na ni lazima sasa tuhitaji Viongozi warefu.
'...unakuta raia unalalamika kwa jambo fulani ajabu kwalo Kiongozi naye analalamikia hilohilo kitu ambacho kinaondoa utofauti wa Muongozwa na Kiongozi.'
'....ni muda sasa tupate Viongozi warefu na si wafupi wa kila kitu kama waliopo sasa.'
Kipanya.
'...unakuta raia unalalamika kwa jambo fulani ajabu kwalo Kiongozi naye analalamikia hilohilo kitu ambacho kinaondoa utofauti wa Muongozwa na Kiongozi.'
'....ni muda sasa tupate Viongozi warefu na si wafupi wa kila kitu kama waliopo sasa.'
Kipanya.