Masoud Kipanya: Viongozi wetu ni wafupi

Suzy Elias

JF-Expert Member
Nov 9, 2021
1,067
6,192
Nguli wa vibonzo, ndugu Masoud Kipanya amedai tatizo kubwa la Viongozi ni ufupi na ni lazima sasa tuhitaji Viongozi warefu.

'...unakuta raia unalalamika kwa jambo fulani ajabu kwalo Kiongozi naye analalamikia hilohilo kitu ambacho kinaondoa utofauti wa Muongozwa na Kiongozi.'

'....ni muda sasa tupate Viongozi warefu na si wafupi wa kila kitu kama waliopo sasa.'

Kipanya.
 
Too general statiment
Mtu akitoa sentensi kama hizi maana yake anajificha nyuma ya tasfida na hapo ni kukwepa uwajibikaji na uwezo mdogo wa kuwa wazi na kunyooka kwenye hoja
Sasa viongozi wafupi ni akina nani? Watajwe
 
Too general statiment
Mtu akitoa sentensi kama hizi maana yake anajificha nyuma ya tasfida na hapo ni kukwepa uwajibikaji na uwezo mdogo wa kuwa wazi na kunyooka kwenye hoja
Sasa viongozi wafupi ni akina nani? Watajwe
Kila mtu ana njia zake za kufikisha ujumbe kwa hadhura aliyoikusudia, kwa mtu kama Masoud hiyo ndio njia sahihi, hilo la kutaja majina awaachie kina Zitto, Lisu, Mbowe na wanasiasq wengine. Halafu hiyo sio tafsida kabisa.
 
Kila mtu ana njia zake za kufikisha ujumbe kwa hadhura aliyoikusudia, kwa mtu kama Masoud hiyo ndio njia sahihi, hilo la kutaja majina awaachie kina Zitto, Lisu, Mbowe na wanasiasq wengine. Halafu hiyo sio tafsida kabisa.
In fact anachokiongea kina mantiki zaidi kulikoni kilichoandikwa

Ufafanuzi upo kwa alichokiongea walau kinamake sense kuwa tatizo lipo kwa "shortness leader"

Jokes
 
Masoud Kipanya akabidhiwe PhD yake ASAP
Nguli wa vibonzo ndugu Masoud Kipanya amedai tatizo kubwa la Viongozi ni ufupi na ni lazima sasa tuhitaji Viongozi warefu.

'...unakuta raia unalalamika kwa jambo fulani ajabu kwalo Kiongozi naye analalamikia hilohilo kitu ambacho kinaondoa utofauti wa Muongozwa na Kiongozi.'

'....ni muda sasa tupate Viongozi warefu na si wafupi wa kila kitu kama waliopo sasa.'

Kipanya.
View attachment 2427592
PhD
 
Masoud Kipanya akabidhiwe PhD yake ASAP
Nguli wa vibonzo ndugu Masoud Kipanya amedai tatizo kubwa la Viongozi ni ufupi na ni lazima sasa tuhitaji Viongozi warefu.

'...unakuta raia unalalamika kwa jambo fulani ajabu kwalo Kiongozi naye analalamikia hilohilo kitu ambacho kinaondoa utofauti wa Muongozwa na Kiongozi.'

'....ni muda sasa tupate Viongozi warefu na si wafupi wa kila kitu kama waliopo sasa.'

Kipanya.
View attachment 2427592
PhD
 
Too general statiment
Mtu akitoa sentensi kama hizi maana yake anajificha nyuma ya tasfida na hapo ni kukwepa uwajibikaji na uwezo mdogo wa kuwa wazi na kunyooka kwenye hoja
Sasa viongozi wafupi ni akina nani? Watajwe
Hapa Kipanya anamaanisha kuwa viongozi wetu wanatakiwa wawe na maono na akili kubwa na wenye kuone kesho inahitaji nini kama taifa na sio wenye kuwa na mitazamo kama wanaowaongoza
 
Afunguke zaidi, nikianza kusikia stori za viongozi kuona , kuna wengine wana macho legevu sijui wapo kwenye kundi gani

435617ac9b793544309baa19e58bdd02.gif
 
Too general statiment
Mtu akitoa sentensi kama hizi maana yake anajificha nyuma ya tasfida na hapo ni kukwepa uwajibikaji na uwezo mdogo wa kuwa wazi na kunyooka kwenye hoja
Sasa viongozi wafupi ni akina nani? Watajwe

Kipanya anachojaribu kuzungumza katumia mtazamo wa falsafa kuangalia uwezo wa viongozi wanaotuongoza wengi kama sio wote sio visionary na hawawezi kuforesee au hawana uwezo wa kutatua matatizo ya wananchi yaani mwananchi analia maji au umeme na kiongozi hana jawabu lolote juu ya matatizo ya wananchi wake yaani kiongozi anakua kilaza kama vilaza wengine, kwani haujawahi kuona majibu ya viongozi wetu hadi unajiuliza huyu alikuaje kiongozi? Kwahiyo tunapaswa kua na viongozi wenye mitazamo ya mbele wenye fikra za mbali sana yaani utabiri wa mwaka huu unasema mvua zitakua chache lakini hujamuona kiongozi yoyote akijaribu kuhamasisha watu wapande mazao ya muda mfupi na yale yanayohimili ukame, yaani kiongozi nae anategemea kudra za Mwenyezi Mungu ili kutatua matatizo ya anaowaongoza
 
Tena mimi viongozi nawaweka kwenye kundi la watu wenye mawazo kama ya mtoto mdogo ambae hajui na hana utambuzi wa kipi chema na kipi kibaya, haiwezekani miaka 60 ya uhuru haujafanikiwa kuitoa nchi kwenye kundi la mataifa maskini pamoja na rasilimali zote ulizonazo halafu ujiite una akili timamu hapana
 
Viongozi wanalalamika wananchi kukata miti kwa ajili ya mkaa, wakati viongozi haohao wanabiashara kubwa za mbao na magogo kupeleka nje ya nchi, lakini upande wao hawaangalii kabisa
 
Uje ujaribu kuwaeleza waweke wazi mikataba mbalimbali wanayoingia ndio utajua kweli ni wafupi.
 
Nguli wa vibonzo ndugu Masoud Kipanya amedai tatizo kubwa la Viongozi ni ufupi na ni lazima sasa tuhitaji Viongozi warefu.

'...unakuta raia unalalamika kwa jambo fulani ajabu kwalo Kiongozi naye analalamikia hilohilo kitu ambacho kinaondoa utofauti wa Muongozwa na Kiongozi.'

'....ni muda sasa tupate Viongozi warefu na si wafupi wa kila kitu kama waliopo sasa.'

Kipanya.
View attachment 2427592
Kaka yangu Masoud hamaanishi ufupi wala urefu wa vipimo; bali uwezo wa kufikiri kwa kina na si kwa kiwango cha chini. Sasa na mimi namchallenge; hii ni fallacy... ambayo haikubaliki. Angekuwa specific angalau tungejadili issues kwa hiyo sekta. Kuna mambo makubwa nchi hii yanafanyika na changamoto ktk nchi kubwa kama hii hazikosekani.🙏🙏🙏
 
Back
Top Bottom