unprejudiced
JF-Expert Member
- Jan 27, 2017
- 3,505
- 2,862
KP ni Akili Kubwa sema tu sio mtu wa kujipendekeza,angejikita ktk kusifu na kuabudu ktk kazi zake hizi teuzi mbalimbali zilizopita na zijazo baada ya uchaguzi asingeachwa hivi hivi,tabia yake ya kukosoa na kusimamia ukweli inamnyima vingi vizuri..
Ukweli wa upande upi.