tunduma001
JF-Expert Member
- Jun 7, 2021
- 216
- 399
Hizo watafune tu ili wabongo akili ziwakae sawa na mama yao maushungi
Kivipi?Huu uzi umejaa wachaga na wasukuma...
We acha ujinga siku wachaga nawasukuma wakiungana unadhani Nini kitatokea?Huu uzi umejaa wachaga na wasukuma...
Another harlot at her best, he/she who alleges must prove otherwise your neck will be our right.Nimewaza vile Mbowe, Tundu na wenzao walivyotafuna ruzuku miaka30 wakashindwa kujenga hata office
Halafu wakaanza kumlaumu hayati kaficha mara anafanya miradi mikubwa mara anatakiwa kukopa
Tena si viongozi wa ccm bali baadhi ya viongozi wa chache sana wa chama. Chama kinatakiwa kuisimamia serikali, lakini kuna mahali nilikuta serikali imelazimika kusimamia in away chama. Mjumbe wa chama assiye muadilifu anasiriki kuuauza ardhi ya wananchi bila kufuata taratibu, serikali ilimshughulikia.adui sio ccm bali viongozi wa ccm