Bondpost
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 6,589
- 9,325
Wanakudanganya tu ili uwape mbususu nzee.Mimi hapa babu zako wananiita bebi,
Wanakudanganya tu ili uwape mbususu nzee.Mimi hapa babu zako wananiita bebi,
Hadi wanafika 16 bado wote wanakutegemea tu?Ku maintain wanawake wanne lazima uwe tajiri, vinginevyo itakula kwenye mwili na mifupa yako............hapo kila mmoja akipata wastani wa watoto wanne, kumi na sita, jumla unakuwa na timu ya watu 20 kwenye familia bado ndugu na watoto wao ambao watakuwa wanakutegemea.
Ila Nargis akazinguwa Kipanya akapiga chini, watu wengi hawaelewi machungu na mateso ya mapenzi waliyopitia watu mpaka kupata dawa ya wanawake.Acha bwana kumbe ye ndiye aliyemuoa yule Nargis duuuh 😯😯😯
na akaunti zao za mafao nina ufunguoWanakudanganya tu ili uwape mbususu nzee.
Itabidi nikutafute nikupe za vijana unigawie hizo pensheni za vibabu. Utakula mkunyenye mpaka ujikute mashamba ya urithi umenigawia😜na akaunti zao za mafao nina ufunguo
Kwani ukiadapt nani atakudai? Au kuna tuzo za kufanyana?Usikwambie mtu, ukiwa na wake wengi au mahawara wengi Abdallah kichwanwazi ndio anacharuka kisawasawa, kuliko kuwa na kimke kimoja mara kikuletee pozi kachoka ndio na weww anaadopt uzembe wa mwanamke.
Ulifata nini kwenye page yake,huo ni umbeaKunasiku niliandika hvyo kwenye kurasa zake akanibloku unawachafua watu bila sababu na mijitu janaume kabsa anaenda kudowlod app seriously
True..Mange na hii blog yake uchwara ataumiza sana privacy za watu.Hii app kuna watu itawaumiza kwani inachochea cyberbullying na character assassination na Mange naye dishi lake lishayumba yy hajali.
Mwanaume hutakiwi kuwa mzembe kama huna tatizo lolote la kiafya.Kwani ukiadapt nani atakudai? Au kuna tuzo za kufanyana?
koma we mtotoItabidi nikutafute nikupe za vijana unigawie hizo pensheni za vibabu. Utakula mkunyenye mpaka ujikute mashamba ya urithi umenigawia
Mkali Simba na amezaa usiwe mkali bibie sisi wengine ni Kama wazee wenzio tu utapata raha ileile.koma we mtoto
fatabarakallahu ahsanul khaliqiin..Mi huwa namuona kama anafanana na tumbili Mungu anisamehe bure
Tuzo ya nini ?Kwani ukiadapt nani atakudai? Au kuna tuzo za kufanyana?
Mmmh taratibu mkuu..weka kwa lugha yetu.fatabarakallahu ahsanul khaliqiin..