Mamndenyi
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 40,593
- 52,284
Mimi hapa babu zako wananiita bebi,Bwana mdogo ana miaka 50 sio? Kweli mjini kila mtu bebi.
Mimi hapa babu zako wananiita bebi,Bwana mdogo ana miaka 50 sio? Kweli mjini kila mtu bebi.
Na kwa sasa anatumia huu uzaifu kujiingizia kipato, Wanamlipa kwa Mwezi, Miezi, Mwaka ili waendelee kupata wenyewe wanaita 'ubuyu'.Mange ni faller flan ambaye Watanzania wameintain ufaller hadi kufikia kujivunia huo ifaller...simpendi Mange kabisa
Huyu amechafua watu wengi mno, watu wakifarakana ni furaha kwake na hajali.Na kwa sasa anatumia huu uzaifu kujiingizia kipato, Wanamlipa kwa Mwezi, Miezi, Mwaka ili waendelee kupata wenyewe wanaita 'ubuyu'.
Ndio hivyo.Huyu amechafua watu wengi mno, watu wakifarakana ni furaha kwake na hajali.
Mdomo wake hauna breki, anajiita dada wa taifa sijui nani kampa cheo hicho
Hivi Hawa islam huwa hawana justification nyingine ya kuoa wanawake wengi zaidi ya kusema Kuna watu Wana mke mmoja lakini mahawala wengi!!“Maisha yangu mimi sio ya kuyaweka hadharani kama watu wanavyotaka, dunia tuliyopo kuna vitu vikifanyika watu wanaona kawaida na vile vya kawaida vinaonekana sio sawa"
"Kuna mtu anaweza akawa na mwenza mmoja lakini nyuma yake ana 'watu' wengi sana na kila mwaka anabadilisha na watu wanaona sawa ila kuna mwingine akifuata dini inavyotaka inakuwa shida”
Masoud Kipanya
====
Siku za karibuni Masoud amekuwa akiandamwa na dada maarufu mtandaoni juu ya ndoa yake mpya ya mke wa nne ambayo anadai imepeleka huzuni kwa mke wake wa kwanza.
Pia, soma=> Masoud Kipanya aongeza mke wa nne
View attachment 2093665
Wewe ni Ke?.Huyo mke mkubwa nae zuzu tuu, Mke mkubwa ndiye hutoa ruhusa ya Mume kuoa mke mwingine zaidi. akae kwa kutulia.
Wa hivi usiwe fiti tu mfukoni na bunduki iwe AK-47 sio silaha bisibisi, maana wanne si mchezo.Huyu kweli yuko fit, kama ana uwezo wa kuwatunza wote sioni shida...
Mi huwa namuona kama anafanana na tumbili Mungu anisamehe bureAtakuwa anaandika hata uongo ili mradi tu yeye apate wasomaji ale pesa. Yule dada yani anaweza kumzushia kitu chochote mtu na wafuasi wakaamini. Unakumbuka aliposema ray anachunguzwa kwa kumuua kanumba? Ray alipojaribu kujitetea lilikuwa kosa alimtukana kila aina ya tusi.
“Maisha yangu mimi sio ya kuyaweka hadharani kama watu wanavyotaka, dunia tuliyopo kuna vitu vikifanyika watu wanaona kawaida na vile vya kawaida vinaonekana sio sawa"
"Kuna mtu anaweza akawa na mwenza mmoja lakini nyuma yake ana 'watu' wengi sana na kila mwaka anabadilisha na watu wanaona sawa ila kuna mwingine akifuata dini inavyotaka inakuwa shida”
Masoud Kipanya
====
Siku za karibuni Masoud amekuwa akiandamwa na dada maarufu mtandaoni juu ya ndoa yake mpya ya mke wa nne ambayo anadai imepeleka huzuni kwa mke wake wa kwanza.
Pia, soma=> Masoud Kipanya aongeza mke wa nne
View attachment 2093665
Itakuwa ndio yule house girl kutoka Mombasa, ndio maana bi mkubwa alishtuka mapema tu.😁😁Good kipanyaaa do it nicely... ivi uyo ndo lile zigo kutoka mombasaeee
Usikwambie mtu, ukiwa na wake wengi au mahawara wengi Abdallah kichwanwazi ndio anacharuka kisawasawa, kuliko kuwa na kimke kimoja mara kikuletee pozi kachoka ndio na weww anaadopt uzembe wa mwanamke.'Kuwatunza 'ni nebo pana sana mkuu! Inaweza hata isuhusishe pesa za cartoons,
Huyo mke mmoja, kasheshiba vzur hana stress unaweza usimtunze vzr kwa bed !!! , Haya fanya ndo wapo wannne , washashiba ?? Maana naamini jamaa pesa ya kuwatunza ipo.
Kipanya huwa achukui makwasukwasu, mke wake wa kwanza ni Nargis Mohammed alikuwa Miss Tanzania.Duh safi sana! Basi jamaa uchumi wake sio mchezo. Halafu mtoto mzuri kweli kachukua. Dah tufukue hela ma***ye tule vinono
Acha bwana kumbe ye ndiye aliyemuoa yule Nargis duuuh 😯😯😯Kipanya huwa achukui makwasukwasu, mke wake wa kwanza ni Nargis Mohammed alikuwa Miss Tanzania.
Nadhani unajuwa ili Miss Tanzania akubali umuowe na wewe inabidi uweje.😂😂