Mnyaluhala.
JF-Expert Member
- Jul 28, 2012
- 1,430
- 1,773
Mke wangu mbona haigi kwa wake zake masudi hasa mke wa kwanza....yaani nina mchepuko mmoja tu lakini ugomvi hauishi nyumbani
daahh!!mmechekaaaKila la kheri kwake
Niliwahi kuwa na mpz dini ya masudi, akanitaka nibadiri dini Ili tuoane na yeye hayuko tayari kubadiri (nikasema sawa) kwa Sharti Moja ataniruhusu kuongeza mke daaah aligoma kabisa na uchumba ukafa(yaani nibadiri dini kisa mtu mmoja ) sina ujinga huo.
Dhambi gani wakati dini inaruhusu hadi wake wanneHuu mzigo wa dhambi kubwa hivi nani atamtua?
Tutafute pesa....hadi uzee unakuogopaIna maana kipanya mwaka huu anatimiza miaka 50 aiseee hafananii na umri huo
ISHI MILELE MKUU,Safi sana. Ataishi maisha marefu sana. Kuwa na Mke mmoja bila hata mchepuko ni kujitafutia stress tu na kukaribisha magonjwa yasiyoambukiza kama pressure, kisukari, moyo kuwa mkubwa n.k
Hii ni kweli kabisaSafi sana. Ataishi maisha marefu sana. Kuwa na Mke mmoja bila hata mchepuko ni kujitafutia stress tu na kukaribisha magonjwa yasiyoambukiza kama pressure, kisukari, moyo kuwa mkubwa n.k
Anatumia fursa vizuri. Haya ndio mambo wanaume wanapaswa kufanya ukiwa na hela sio kulingishiana mijengo na magarii
Umri ukifikia 40+ hamu ya mapenzi inaongezeka Mara dufu, labda km kunA tatizo mahaliBig mistake. Kwa umri alionao kipanya 50 wallah bed perfomance ipo low sana. Na ukute huyo mke ni under 35 jasho litamtoka. Atoe huduma kwa nyumba nne! Wallah lazima apewe tough na masela.
Halafu tunalalamika kwanini Sisi ni maskini.
Wana athirika saba tu,ni vile hawana platform za kusemeaKasema hivii hutosheki na mmoja,una uhakika ukipewa 10 utatosheka?.. ndoa sio sex peke yake, ndoa ipo kuanzisha familia, kuanzisha familia na wake wanne utapata wapi nafasi ya kulea wanao vyema? ,,,ningekua nina akili za kusoma ningependa kujua watoto wa ndoa za mitala malezi yao yanakuwaje? Je hawaathiriki kisaikolojia na huu mfumo?
Mzee anatafuta mtu wa kumuhudumia/ housegirl halali!!!! Badala ya kuhangaika na viruka Njia.Sisi wenye fedha huwa tunaoa uzeeni😁😁😁
View attachment 2091639
Huyu mzee kafanana kama yule aliyepewa ubalozi nchi fulani😂😂Sisi wenye fedha huwa tunaoa uzeeni😁😁😁
View attachment 2091639
Faida ipo kubwa sanaHiyo team ya wake Ina faida gani
Anakunywa maji mengi ana Fanya mazoez hanywi vinywaji vikali ana Kula vizuriIna maana kipanya mwaka huu anatimiza miaka 50 aiseee hafananii na umri huo
Kwa uzoefu wangu ukiwa na mke ukisha muacha Kwa kumpa talaka bas Una muacha yeye na watoto ana shugulika nao yeye mwanamke Kwa kuwaleaKasema hivii hutosheki na mmoja,una uhakika ukipewa 10 utatosheka?.. ndoa sio sex peke yake, ndoa ipo kuanzisha familia, kuanzisha familia na wake wanne utapata wapi nafasi ya kulea wanao vyema? ,,,ningekua nina akili za kusoma ningependa kujua watoto wa ndoa za mitala malezi yao yanakuwaje? Je hawaathiriki kisaikolojia na huu mfumo?