Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,057
Utamfanya nini , wapi jiwe leo ?!Sawa,ila anachofanya sio poa kwa afya yake
Utamfanya nini , wapi jiwe leo ?!Sawa,ila anachofanya sio poa kwa afya yake
Aendelee tu kmmkeUtamfanya nini , wapi jiwe leo ?!
Hapana Kate zipo sawasawa, nne kwa nne Angalia vuzuri moja ya MWISHO imejificha kwenye koti. Yaan ndo mchezo unataka kuanza kainama anajiuliza naanzaje kusukuma hizi ketekama ni zamu ya mama kusukuma kete draft limekwisha.Kete za mama zote zinatafunwa.
Atakuwa anazungumzia ile mipaka ya barmipaka ipi?
Mnamuonya wewe na nani?huyu kipanya ni mchochezi na anatumika vibaya kwa masilahi ya tumbo lake.
tuna muonya atumie vizuri taaluma yake, asilewe misifa! akajisahau.