vitu vingine ni biashra za watu.Masoud Kipanya akiwa anahojiwa na BBC amesema alipokea ujumbe kuwa anamuandama sana mama.
Masoud kupitia mahojiano na BBC amejitetea kuwa yeye hachori raisi bali anachora uraisi, na anapochora sio kuwa anamchukia huyo mtu. hivyo asichukuliwe vibaya.
Hili suala naona ni la ajabu kidogo.hadi Sasa sijaona kwa nini viongozi na watu wanachukizwa na mawazo mbadala ya watu wengine.
Bado nashangaa unawezaje kuchukua katuni? Je ni kweli mama nae anachukia au ni watu wake tu ambao ni viherehere?
Wiki chache nyuma tuliona mchora katuni Opter Fwema akikamatwa kwa sababu ya katuni yake aliyomchora mama.
Je Ina maana hawa wachora katuni bawatakiwi kabisa kuchora uraisi? Au inabidi katuni zote zipitie kwanza huko ziwe edited ndio zifike kwa public?
Tuache haya mambo, kuna mengi ya kuconcentrate nayo kuliko hawa wachora katuni ambao hawana sana impact na katuni zao.
Huu ni upuuzi,ukimkamata anaweza thibitisha ujumbe huu wa kwenye katuni yake? Uhuru wa kujieleza sio fursa ya kuvunja sheria na kufanya udharirishaji.
Propaganda zilifanywa na awamu ya 5 ila mimi Sifanyi propaganda nafanya kinachotekelezwa site kabisa ,mimi pia ni shahidi na mhusika wa utekelezaji . .Hizi propaganda utaweza kweli kuzifanya miaka yote ya chief hangaya? Naona Kama wenzako wanakutegea
Wachora katuni hawajawahi kushindwa vita na utawala wowote duniani.Huu ni upuuzi,ukimkamata anaweza thibitisha ujumbe huu wa kwenye katuni yake? Uhuru wa kujieleza sio fursa ya kuvunja sheria na kufanya udharirishaji.
AnapwayaMama anaponya nchi 😁😁
Huyu alikuwa akimchora mwendazake na bichwa kubwa kwa amani kabisa bila fujoKumbe haya mambo bado yapo!
ngoja tumuite peno hasegawa 😆😆😆Naipenda ile picha ya chifu Hangaya akifumua engine na kutoa oil chafu huku akilembua na ushungi wake.
Wewe mbona unaleta maudiktekta ya kishamba ya MEKO,Kwa hiyo kila unachoona kizuri na yeye aone hivyohivyo? It's better uheshimu mawazo ya wengine yaliyokuwa permitted na sheria-hvyo ni haki yake.Therefore akimchora MEKO sawa,ila akimchora MAMA siyo sawa? unafki mbaya sanaMpumbavu tuu yule kwake kila kitu ni kibaya
Kwake kila kitu ni kibaya ndio maana wamemueleza kama hataki aendeleeWewe mbona unaleta maudiktekta ya kishamba ya MEKO,Kwa hiyo kila unachoona kizuri na yeye aone hivyohivyo? It's better uheshimu mawazo ya wengine yaliyokuwa permitted na sheria-hvyo ni haki yake
Wewe ndo mpumbavu tena takataka.Mpumbavu tuu yule kwake kila kitu ni kibaya
Kuna kundi linamuongoza Rais ambalo ndio huamua wa kumteka au kumuua , fuatilia kesi ya Mbowe utaelewaMasoud Kipanya akiwa anahojiwa na BBC amesema alipokea ujumbe kuwa anamuandama sana mama.
Masoud kupitia mahojiano na BBC amejitetea kuwa yeye hachori raisi bali anachora uraisi, na anapochora sio kuwa anamchukia huyo mtu. hivyo asichukuliwe vibaya.
Hili suala naona ni la ajabu kidogo.hadi Sasa sijaona kwa nini viongozi na watu wanachukizwa na mawazo mbadala ya watu wengine.
Bado nashangaa unawezaje kuchukua katuni? Je ni kweli mama nae anachukia au ni watu wake tu ambao ni viherehere?
Wiki chache nyuma tuliona mchora katuni Opter Fwema akikamatwa kwa sababu ya katuni yake aliyomchora mama.
Je Ina maana hawa wachora katuni bawatakiwi kabisa kuchora uraisi? Au inabidi katuni zote zipitie kwanza huko ziwe edited ndio zifike kwa public?
Tuache haya mambo, kuna mengi ya kuconcentrate nayo kuliko hawa wachora katuni ambao hawana sana impact na katuni zao.
Samia amerithi tabia zote za Magufuli, ila ameamua kutengeneza enablers wakeMama anaponya nchi
Nimeipenda sana hiiMasoud Kipanya akiwa anahojiwa na BBC amesema alipokea ujumbe kuwa anamuandama sana mama.
Masoud kupitia mahojiano na BBC amejitetea kuwa yeye hachori raisi bali anachora uraisi, na anapochora sio kuwa anamchukia huyo mtu. hivyo asichukuliwe vibaya.
Hili suala naona ni la ajabu kidogo.hadi Sasa sijaona kwa nini viongozi na watu wanachukizwa na mawazo mbadala ya watu wengine.
Bado nashangaa unawezaje kuchukua katuni? Je ni kweli mama nae anachukia au ni watu wake tu ambao ni viherehere?
Wiki chache nyuma tuliona mchora katuni Opter Fwema akikamatwa kwa sababu ya katuni yake aliyomchora mama.
Je Ina maana hawa wachora katuni bawatakiwi kabisa kuchora uraisi? Au inabidi katuni zote zipitie kwanza huko ziwe edited ndio zifike kwa public?
Tuache haya mambo, kuna mengi ya kuconcentrate nayo kuliko hawa wachora katuni ambao hawana sana impact na katuni zao.
Imenikumbusha Ben Saanane.Kumbe haya mambo bado yapo!