Maskini RFA, ndiyo kwaheri hivyo

Enzi za R.F.A

Mtangazaji: unaitwa nani
Mwili obare:naitwa Mwili obare kutoka musoma Mara
Mtangazaji: mwili obare

Naaaaaàaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaàaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaammm

Yani jamaa alitika mpaka radio Betri zikaisha.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Wanaanzisha radio kama vile Whatsapp group itakufa kirahisi pia, anyway RFA imedumu kivyake. Redio nyingi sana zitakufa miaka 10 ijayo zitabaki zile kongwe tu.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Kikwete alimwambia Magufuli asimtupe Diallo. Naona Magu hana habareee,biashara ya radio ni ngumu siku hizi. Radio zimekuwa nyingi kama utitiri. Dallo alitegemea ujanja ili aendelee ishi radio yake. Serikali nayo imemshika pabaya. Atakufa kwa pressure huyu Baba.
 
Wanaanzisha radio kama vile Whatsapp group itakufa kirahisi pia, anyway RFA imedumu kivyake. Redio nyingi sana zitakufa miaka 10 ijayo zitabaki zile kongwe tu.

Hayo ni mawimbi tu ila hayawezi kuzamisha chombo. Bahari itatulia itarud kweny hali yake.
Ofcoz i love it, i like it
 
Kikwete alimwambia Magufuli asimtupe Diallo. Naona Magu hana habareee,biashara ya radio ni ngumu siku hizi. Radio zimekuwa nyingi kama utitiri. Dallo alitegemea ujanja ili aendelee ishi radio yake. Serikali nayo imemshika pabaya. Atakufa kwa pressure huyu Baba.

Huyu bwana sema kawa rigid. Hatak ku adopt new techniques to cope with the current situation. Sijua anakwama wapi huyu mzee
 
RFA ilikuwa bonge la Brand ndugu yangu.
Ukija KISS FM huku ni Kibepari tu wanabonga.
Leo RFA ya kuwa na watangazaji watano???!!!!
Inasikitisha sana... nakumbuka enzi nikiwa kachalii nilivipenda vipindi vya RFA kama vile Sindano 5 za moto by Fred Waa, Show time, Weekend Fever, Search Line, Je wajua? na Michezo.
Ukisikia Neeeeews ..sauti za watangaza news zilikuwa nzuri na makini sana...
God!
 
Kinachoendelea kwenye radio Free Afrika ni huzun kwa kweli, watangazaji wanabadirishana kutwa hao hao.

Cha ajabu jioni hii nahisi wamefanya mgomo, mara baada ya matangazo kutoka DW Radio hakuna aliyebadili station au kuingia hewani, ni ule mlio wa DW radio ndiyo unaendelea mpaka muda huu.

Hata jamaa yangu aliye Arusha ananipigia akisema hiki.

RIP RFA.
Inasikitisha sana, mimi bado nasikiliza watanzania tuongee magazeti, nayo mara matangazo yakatike, yaani ni shida, radio ilikuwa ya mfano hii jamani kwa vipindi vyake vya kueleimisha
 
Kinachoendelea kwenye radio Free Afrika ni huzun kwa kweli, watangazaji wanabadirishana kutwa hao hao.

Cha ajabu jioni hii nahisi wamefanya mgomo, mara baada ya matangazo kutoka DW Radio hakuna aliyebadili station au kuingia hewani, ni ule mlio wa DW radio ndiyo unaendelea mpaka muda huu.

Hata jamaa yangu aliye Arusha ananipigia akisema hiki.

RIP RFA.
RFA ilikuwa Zamani!Kweli kila lenye Mwanzo Lina Mwisho
 
Kuna kitu mnakosea sana, ingawa ntakutaka radhi.
Mimi katika kuchangia nimeangalia avatar pict yako, sikuangalia profile.

Sasa mkuu nawee nae! Kwanini uweke picha ya kimwana? Mnatuchanganya bana!

🙂🙂🙂
Ww mwenyewe kutumia avatar ako nkikuuliza nyie mabeberu kwa nn mlituibia maliasili zetu? Utajibuje?
 

Similar Discussions

23 Reactions
Reply
Back
Top Bottom