KYALUMUKUNZA
Senior Member
- Aug 19, 2012
- 145
- 28
Kwanza kabisa nawaombeni msamaha wana jamii wote wapenda amani kwa kitendo changu cha kuwaua kinadharia wazazi wangu hali wangali wazima. nililazimika kufanya hivyo ili niweze kupata mkopo asilimia mia kwani hali za wazazi wangu ni dhoofili bin taabani hivyo nilichangamka na nikasajili vifo vya wazazi wangu na kupata death certificate toka RITA ili hali wenyewe wangali hai mpaka sasa na hivi ninavyoongea niko mwaka wa pili chuo kikuu kimojawapo hapa nchini napata mkopo asilimia mia na masomo na maisha yangu pamoja na wazazi wangu yanaenda vizuri kwani nikipata boom langu huwa nakata fungu nalituma kwa wazazi wangu ingawa kwa upande wa pili nikifikiria huwa na simanzi na huzuni. wana jf naombeni ushauri kwa kile nilichokifanya nawakilisha.