Maskini modem yangu

Brother P

Member
Mar 23, 2011
10
1
Habari jf members.nilichomeka modem yangu ya vodafone kwenye usb port ya kompyuta ya mezani,ghafla ikawa ya moto sana,tangia hapo kila nikichomeka kwenye kompyuta yoyote massage hii hutokea 'one of usb device connected to this computer has mulfunctioned'..taa ya blue huwaka kwenye modem ..je modem hii inameza kurekebishwa au ndo imeshakufa jumla.
 
Modem imeharibika, kazii zake hazitokuwa bora kama awali kama itarekebishwa.
Kama iko ndani ya dhamana, irejeshe na usitoe hadithi hii, acha wahangaike nayo.

Jifanyie utafiti uliosababisha taflani hiyo kutokana na matumizi yako.

Wasalaam.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom