Maskini Dokta Shika ugonjwa umechachamaa pesa hana

Inasikitisha! Hichi ndicho kipindi wengi humgeukia Muumba.Ila yafaa kila siku umuendee Mungu kumpa shukrani.Mkumbuke Mungu siku zote za ujana wako.

Japo sijui lifestyle yake ya ujanani,na kama namsingizia Mungu anirehemu,ila wengi wanaosumbuliwa na magonjwa haya ya figo,ini,mapafu n.k ukijaribu kufuatilia maisha yao ya ujanani unakuta ni yale ya anasa anasa.Unatumia pombe kali,sigara sijui ngapi kwa siku,unakunywa madawa gani sijui ili mwili wako uwe namna hii n.k jua utajiletea tabu uzeeni iwapo Mola atakujalia kufika.

Pia ni vizuri mtu ukifika umri wa late 30's au early 40's kwenda hospitali kucheki hali ya mwili wako hasa hivi viungo vya ndani vinavyoanza kuchoka.Kama kuna tatizo mf.kansa n.k unaliwahi kabla halijawa sugu huko mbeleni.Zingatia pia mlo bora hivi vyakula vya viwandani usipendelee kuvitumia.

Mwisho we amini uwepo wa Mungu.Kheri uamini ili hata asipokuwepo sio mbaya kuliko usiamini uwepo wake halafu mwisho wa siku ukamkuta!

Pole sana Dkt.Shika.Watanzania tupo nyuma yako.
uko very wrong ugonjwa wa figo unasababishwa na sukari na presha pia kinga yako ya mwili inaweza shambulia figo yako ikashindwa fanya kazi hayo mambo ya kusema anasa zinachangia figo na myth tu,.
 
Dialysis sio mchezo kama huna pesa you are Gone. Kina jamaa zangu mama yao alikuwa na hilo tatizo uzuri walikuwa na pesa waliinunua hiyo machine akawa anafanyiwa na madaktari nyumbani. Kuna siku ilitokea issue ya clotting mechanism kugoma ilibidi akodiwe ndege haraka kupelekwa Nairobi Kenya.
Usiombe hiyo kitu haswa wale wapiga faru John nk
Duh
Nnavyo zitwanga nyagi tena

Ova
 
uko very wrong ugonjwa wa figo unasababishwa na sukari na presha pia kinga yako ya mwili inaweza shambulia figo yako ikashindwa fanya kazi hayo mambo ya kusema anasa zinachangia figo na myth tu,.
Nimegeneralize viungo vyote nilivyotaja hapo.Mara nyingi anasa na kutofuata kanuni za afya ndo husababisha hayo.Halafu jua fika hata uvutaji wa sigara na uzito kupita kiasi huweza kusababisha ugonjwa wa figo pia.
Sio wote wanaopata ugonjwa wana either kisukari au pressure. Wengine hawana hayo.Ndo maana pia kuna aya nimesisitiza upimaji wa haya magonjwa ya viungo vya ndani pale unapokaribia umri wa uzee.
 
Dah!
Pole sana Dr.Shika.
Kiukweli ukiangalia hiyo hali ya Ugonjwa+Umaskini unaomzunguka kwa sasa Dr.Shika unaweza kujua kinachofuata.....
Hapo kutoboa labda Mungu ashuke tu mwenyewe. Sorry to say so.

Ushauri wangu kwa watu waliopo karibu naye kwa sasa, ni vizuri pia wakamsaidia kutengeneza maisha yake na Mungu. Huku mambo mengine ya tiba yakiendelea.
 
Ukiwa under 30yrs unaweza ‘azima’ figo kwa ndugu au jamaa, lakini kwa umri wa dr. Shika hili la kuazima figo ni mtihani
Siyo kweli
Wapo waloazimwa Figo wakiwa over 60 nawafahamu wanadunda mitaani
Tatizo unatibiwa wapi siyo Bongo. Sheila ana 50 alipata Tiba Sahihi ya transplant atapona. Amezaliwa 1969
 
Inatumika mkuu, pia kumbuka bima zipo za aina nyingi, bongo ukisema bima wanajua umezungumzia NHIF tu

Bima yenye package ya figo.. bei yake ni kubwa sana... ndio maana hata ruge alichangisha hela
 
Dialysis sio mchezo kama huna pesa you are Gone. Kina jamaa zangu mama yao alikuwa na hilo tatizo uzuri walikuwa na pesa waliinunua hiyo machine akawa anafanyiwa na madaktari nyumbani. Kuna siku ilitokea issue ya clotting mechanism kugoma ilibidi akodiwe ndege haraka kupelekwa Nairobi Kenya.
Usiombe hiyo kitu haswa wale wapiga faru John nk
Asante pesa...thanks money
 
Back
Top Bottom