Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 17,415
- 21,110
- Thread starter
- #21
Zile zilikuwa fiksi tu .Kwani bado tu hajapokea yale mabilioni yake kutoka Urusi?!!.
Zile zilikuwa fiksi tu .Kwani bado tu hajapokea yale mabilioni yake kutoka Urusi?!!.
Photoshop tu hio. Hajachukua fomu wala nnDaah Mungu amfanyie wepesi...fomu amechukuliwa na nani??
Everyday is Saturday.........................
Ndugu yake anaitwa Yege KIDOLA LUPANDE Number zake Simu ni 0743547304
Dr anaemuhudumia kwa sasa ni Dr Jasper:+255 759 885 843
umesahau kukopyi na hio burooo
Well said.Hiyo ndio Africa na hao ndio ndugu *****.....ingekuwa utajiri umemtembelea kitambo sana washajaa Kwake. Ndio maana mimi huwa naiheshimu sana pesa iwapo mfukoni mwangu.
Hata wenye umri kama wako chance ya ku-survive ni ndoto. Hata watoto. Mfumo ni ule ule Kwa Wote.nikisikia mgonjwa figo mwenye umri uliokwenda kama Dr. Shika amefikia stage ya kufanyiwa dialysis ki ukweli chance yake ya ku- 'survive' inakuwa ndogo …………………...Mwenyezi Mungu amfanyie wepesi
Ukiwa under 30yrs unaweza ‘azima’ figo kwa ndugu au jamaa, lakini kwa umri wa dr. Shika hili la kuazima figo ni mtihaniHata wenye umri kama wako chance ya ku-survive ni ndoto. Hata watoto. Mfumo ni ule ule Kwa Wote.
Kama una bima ishu ya figo sio ishu ya kukuwazisha . Unaishi maisha ya kawaida tu kama utafanya dialisis na kuzingatia mashariti ya ulajinikisikia mgonjwa figo mwenye umri uliokwenda kama Dr. Shika amefikia stage ya kufanyiwa dialysis ki ukweli chance yake ya ku- 'survive' inakuwa ndogo …………………...Mwenyezi Mungu amfanyie wepesi
Sidhani kama bima inaweza ikatumika kwa tatizo kubwa kama hilo.Kama una bima ishu ya figo sio ishu ya kukuwazisha . Unaishi maisha ya kawaida tu kama utafanya dialisis na kuzingatia mashariti ya ulaji
sio kila bima ina cover magonjwa yote mkuu causeKama una bima ishu ya figo sio ishu ya kukuwazisha . Unaishi maisha ya kawaida tu kama utafanya dialisis na kuzingatia mashariti ya ulaji