Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 48,262
- 115,167
Pole sana.Nimecheeeka hadi basi
Pole sana.Nimecheeeka hadi basi
Piga picha kajitahid kachamba na hayo makucha afu anakuja kukutatia kachumbari..au matunda.Hiyo mikucha wanayofuga kama mashetani watachambaje ?
We jamaa mende nini, yanayotokea maliwatoni unayaonaje?
DohMkuu mbona wewe unatembea na tundu la choo lakn hawakusemi!
Mimi cjui niseme ni ushambaaa cjui niseme ni ubahiliiNaww unatumiaga?!
Na angejitawaza tu na hayo maji (umesema yana bao) angepata ujauzito!Sio kohoz hlo dada angu,hilo ni bao mtu alikua ana piga masta likarukia huko
Mhhhhh......!Hilo nimeliexpiliensi Mkuu kwenye mwendo kasi hasa mida ya kurudi kazini ukiwa chini ya siti wao wamesimama karibu harufu ya choo lazima ivume ndio nimepata majibu Leo.
Ptuuuu utamaduni gan huo? Huo ni uchaf c utamaduni, kingine unaweza ukawa unaumwa lakin usijue kama unaumwa aiseeUshamba wako tu! Kuna watu hawajawai tumia maji tokea wazaliwe na bado hawaumwi! Ni utamaduni wa nje huo...
Kweli tena! Huo ni utamaduni wao... Nilifanikiwa kusoma shule moja nikakutana na watoto wakishua... Yaani hawawezi tumia maji kujisafisha! Tena wakawa wanatuona sie tunaotumia maji ni wachafu, eti tutaahikaje vinyesi vyetu wenyewe?! Kuna mmoja ndo akasema tokea azaliwe hajawai jitawaza na maji baada ya kujisaidia, iwe haja kubwa au ndogoPtuuuu utamaduni gan huo? Huo ni uchaf c utamaduni, kingine unaweza ukawa unaumwa lakin usijue kama unaumwa aisee
Yaani siku izi wadada wengi haswa warembo na wa maofisini wanamchezo wa kutembea na tishu na vijitambaa flani mfano wa tishu vinakuwa na unyevu unyevu hivi sasa kumbe hizi tissue na vijitambaa ndo wakienda msalani kukata magogo au haja ndogo wanajipangusa wanaondoka eti kisa hawataki mimaji maji mimaji yaani huu ni uchafu wa kiwango cha kimataifa ivi kwa nn mwanamke utumie tissue? Ndo maana nyuzi za maradhi yenu sehemu za siri haziishi mnatembea na uchafu haswa madada wa maofisini, wadada wa chuo na ma sister duu tishu mnajipaka vinyesi
Wee unaejielwa ndo unatembea na mavi mchana kutwa c ndiyo?Una matatizo na ujielewi ... ni sawa na tissue tu, sema ni wet
Mimi cjui niseme ni ushambaaa cjui niseme ni ubahilii
Uvo vitu situmiagi
Kwa hiyo na ww ndo umeamua kuiga huo utamaduni, na kuamua kuita wenzio washamba et, sio kila kitu cha kuiga aisee, kwa hiyo hata nguo zao zikichafuka hutumia tishu kuzisafisha au n nn, maana maji ndio kiini kikuu cha usafi, ilitakiwa na ww uwashangae kuwa usipotumia maji hujisafishi vizur lazima tu utakuwa na harufu mbaya huko chini , ungewaeleza tishu ni kwa ajili ya kuondoa unyevu nyevu tu baada ya kutumia maji safi na salama , sio unaiga hadi upuuzi ,Kweli tena! Huo ni utamaduni wao... Nilifanikiwa kusoma shule moja nikakutana na watoto wakishua... Yaani hawawezi tumia maji kujisafisha! Tena wakawa wanatuona sie tunaotumia maji ni wachafu, eti tutaahikaje vinyesi vyetu wenyewe?! Kuna mmoja ndo akasema tokea azaliwe hajawai jitawaza na maji baada ya kujisaidia, iwe haja kubwa au ndogo
Sio upuuzi bana! Mimi nikiwa nazo natumia... Zisipokuwepo maji yananihusu!Kwa hiyo na ww ndo umeamua kuiga huo utamaduni, na kuamua kuita wenzio washamba et, sio kila kitu cha kuiga aisee, kwa hiyo hata nguo zao zikichafuka hutumia tishu kuzisafisha au n nn, maana maji ndio kiini kikuu cha usafi, ilitakiwa na ww uwashangae kuwa usipotumia maji hujisafishi vizur lazima tu utakuwa na harufu mbaya huko chini , ungewaeleza tishu ni kwa ajili ya kuondoa unyevu nyevu tu baada ya kutumia maji safi na salama , sio unaiga hadi upuuzi ,