dogo kubwa
JF-Expert Member
- May 21, 2016
- 791
- 695
Jamani,kuna shule ya kikatolic ya masista wa mt Mary huko Kisarawe, Wengi wanaoiendesha hiyo shule ni masista wa ki filipino.Cardinaly Pengo alitoa hekari 150,ili wajenge hiyo shule, Inachukuwa wasichana tu,wanaoishi ktk mazingira magumu sana,wanakosa ada,watoto hao watoke ktk mikoa yote Tz.
Walomaliza std 7.wanakwenda wenyewe kuwachukua,na wanawasomesha kuanzia form one mpaka chuo kikuu,kwa kipaji walichonacho.
Kama mtoto anaelekea ktk mambo ya udaktari,basi watamwendekeza kwa kipaji hicho.Shule hizo ziko ktk mabara kadhaa duniani,ktk Africa,hii ndiyo yakwanza kujengwa.
Baadaye watajenga tena ya wavulana.Jana wawata tulienda kuwatembelea. Tumeombwa tuwapelekee hao watoto ili waanze usajiri,kwaajili ya form one.
Walomaliza std 7.wanakwenda wenyewe kuwachukua,na wanawasomesha kuanzia form one mpaka chuo kikuu,kwa kipaji walichonacho.
Kama mtoto anaelekea ktk mambo ya udaktari,basi watamwendekeza kwa kipaji hicho.Shule hizo ziko ktk mabara kadhaa duniani,ktk Africa,hii ndiyo yakwanza kujengwa.
Baadaye watajenga tena ya wavulana.Jana wawata tulienda kuwatembelea. Tumeombwa tuwapelekee hao watoto ili waanze usajiri,kwaajili ya form one.