Kisalilo
JF-Expert Member
- Apr 17, 2020
- 1,882
- 2,109
ambazo mpaka sasa hazijazaa matundaMkuu, mchango wao ni hizo sala, sio lazima wote wachangie fedha.
Sent using Jamii Forums mobile app
ambazo mpaka sasa hazijazaa matundaMkuu, mchango wao ni hizo sala, sio lazima wote wachangie fedha.
Siku 4 zilizopita jua lilichomoza majira ya jioni hapa DAR basi huyo tapeli(gwajima) alijipigia promo kuwa maombi yake aliyofanya bwana amejibu Kwa njia ya moto, yaani Kwa kifupi hawa matapeli wa Imani wanajua kutumia fursa kadri zinavyojitokeza
Irrelevant comparison!Sala ni phenomenon.. Pesa ni real...
Jr
Zinajibiwa... Wewe kuendelea kuwa salama mpaka wakati huu ni kwa sababu ya hizo sala, whether you know.
Reality vs truth, not phenomena.What's the relevant one
Jr