Habar wana jf. Napenda niwasilishe masikitiko yangu juu ya mtazamo ambao wana jf mmejijengea juu ya chuo hiki. Lakin hii yote imetokana mambo makuu ma tatu. Kwanza ni kusadikika kama chuo hiki ni cha ccm au cha kata. Pili ni kutokana na kitendo cha vijana wachache ambao walitumwa na kupewa hela na vigogo ili kumchangia mkwere achukue fomu ya urais na kupita bila kupingwa, na tatu ni kitendo cha bw thobias kusoma tamko la kulaan kitendo cha wabunge wa chadema kususia hotuba ya mkwere. UKWELI WA MAMBO. Udom kuna wana harakati wa ukweli katika kuleta mabadiliko ya kweli katika nchi hii. Ndio wengi wetu nikiwepo mimi tumechangia kwa kias kikubwa kuwezesha ushindi wa chadema majimboni kwetu. Lakini watu wachache kwa maslah yao binafsi wanatumia hasty generalization kutuchafua na sisi wana harakati. MAOMBI. ondoeni mtazamo potofu kuhusu Udom kwani wanaharakati ni wengi kuliko hao wajinga ambao elimu yao bado haija wakomboa. TUUNGANE KWA PAMOJA KATIKA HARAKATI ZA UKWELI KATIKA KUIKOMBOA NCHI YETU KUTOKA KWA MKOLONI MWEUSI THITHIEM. Dent udom