Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,296
- 217,294
Kama ulikuwa hulifahamu hili basi ni wakati wako wa kulifahamu , mabanda yanagombea wateja wachache waliojitokeza badala ya wateja kuyagombea , hii ni rekodi
Kama ulikuwa hulifahamu hili basi ni wakati wako wa kulifahamu , mabanda yanagombea wateja wachache waliojitokeza badala ya wateja kuyagombea , hii ni rekodi
Waliotufikisha hapa wao lengo lao ni nini ?Endelea kushangilia maana ndiyo lengo lako!!!
hivi siku hizi kusema ukweli ni kushangilia ! na hili nalo mnataka kulificha ?Mkuu unashangilia ili upate la kusema kisiasa.Ila hyo ni roho mbaya kutaka uprove usahihi wako kwa majanga ya wenzenu.Na hii ndo sera ya chama chenu??
Sawa boss kama hyo ndo mbinu ya kukijenga chama chenu kwa majanga ya wenginehivi siku hizi kusema ukweli ni kushangilia ! na hili nalo mnataka kulificha ?
Mngekuwa na uwezo hata taarifa za tetemeko Kagera mngezifichaSawa boss kama hyo ndo mbinu ya kukijenga chama chenu kwa majanga ya wengine
Mngekuwa na uwezo hata taarifa za tetemeko Kagera mngezificha
Shukrani mkuuKiwango cha umasikini Tanzania chapungua
www.jamiiforums.com
sawa mkuuSubiri kidogo
huyo Mamayoyo , Ester Mushker , wandamba ni wapiga porojo wanaolipwa na polepole , hebu wafuatilie nyuzi zaoKiwango cha umasikini Tanzania chapungua
www.jamiiforums.com