Mhandisi Mzalendo
JF-Expert Member
- Aug 23, 2010
- 6,048
- 9,803
Habari wadau,
Moderator
Mods watanisaidia ikae jukwaa la Afya au urembo
Nina mwanangu alitogwa masikio pale m city wakamwekea hizi english gold. Na mama yake akashauriwa kumpaka spirit ili akauke vidonda.
Mambo yakaenda poa. Kimbembe kilianza baada ya kumbadili hereni akatoa za pini na kuweka za bangili. Mtoto akawa anazivuta na akaanza kutoa damu na usaha.
Nikatoa hizo hereni na kurudisha za zamani pia nikaanza kumpaka spirit upya.
Je, kuna matibabu zaidi ya haya kwa mtoto? Je nikitoa hereni na kuweka vijiti ni sahii
Moderator
Mods watanisaidia ikae jukwaa la Afya au urembo
Nina mwanangu alitogwa masikio pale m city wakamwekea hizi english gold. Na mama yake akashauriwa kumpaka spirit ili akauke vidonda.
Mambo yakaenda poa. Kimbembe kilianza baada ya kumbadili hereni akatoa za pini na kuweka za bangili. Mtoto akawa anazivuta na akaanza kutoa damu na usaha.
Nikatoa hizo hereni na kurudisha za zamani pia nikaanza kumpaka spirit upya.
Je, kuna matibabu zaidi ya haya kwa mtoto? Je nikitoa hereni na kuweka vijiti ni sahii