Hollo
JF-Expert Member
- Apr 21, 2008
- 827
- 165
Yeah ni kweli lakini sasa mimi nikitapata sehemu ya dau kubwa naondoka ila si unajua tena kazi zinatofautiana kwa hili suala la kina Ze comedy ni lingine Manji hajawashawishi burebure lazima ni kwa manufaa yake pia!Walikuwa wanapata sikatai lakini hata wewe hollo ukipata a better paying job you leave the old one and move to the new one.mbona christian ronaldo nalipwa mno and still anang'ang'ania better payments?
Kuhusu Ronaldo wewe muache tu si anang'ang'ania kwenda Madrid atakoma maana huko kila mtu anacheza vizuri atalisugua benchi hadi atakoma!na asipoangalia itakuwa mwisho wake!