masikini wengi hapa nchini waliposikia kuwa kutakuwa na mgao wa umeme nchi nzima walifurahi sana na kuipongeza serikali ya Jk kwamba kweli selikali imeamua kutujar yaani sasa kila mwananch kuvutiwa umeme!.
Baada ya mwezi kupita wakaona hali ya maisha imekuwa ngumu kupita kawaida na ilivo kuwa, maana hata kwa kusaga nafaka hakupo na hata wale waliokuwa na umeme wakogizan ndipo
walipo anza kuidai serikali mgao wao wa umeme walioahdiwa na serikali!
Baada ya mwezi kupita wakaona hali ya maisha imekuwa ngumu kupita kawaida na ilivo kuwa, maana hata kwa kusaga nafaka hakupo na hata wale waliokuwa na umeme wakogizan ndipo
walipo anza kuidai serikali mgao wao wa umeme walioahdiwa na serikali!