Kyenju JF-Expert Member Jun 16, 2012 4,621 1,706 Feb 18, 2016 #4 Magufuli amkumbuke maana alimuombea kura kwenye Jimbo la Vunjo.
J33 JF-Expert Member Jun 11, 2014 1,552 1,505 Feb 18, 2016 #5 Huyu mzee anaumwa aisee.... Duc in Altum
Ngongo JF-Expert Member Sep 20, 2008 18,921 31,161 Feb 18, 2016 #7 Mbona yuko sawa aisee hivi unajua watu wa kuonea huruma wewe au umeamua kubwabwaja.
MTK JF-Expert Member Apr 19, 2012 8,927 6,850 Feb 18, 2016 #9 tamimusalim said: View attachment 323874 Click to expand... The higher they fly; the harder they fall!!
tamimusalim said: View attachment 323874 Click to expand... The higher they fly; the harder they fall!!
DuppyConqueror JF-Expert Member Mar 30, 2014 9,466 6,961 Feb 18, 2016 #10 Nadhani hapo anapambana kutafuta Sera ya Chadema kwenye mtandao
kajembejr JF-Expert Member Jul 31, 2015 1,289 1,313 Feb 18, 2016 #11 duuu nadhani ulikuwa nje ya bunge anategea wabunge kuomba walau wampe sehemu ya posho
odinyo JF-Expert Member Feb 6, 2012 429 109 Feb 18, 2016 #12 mh JPM alimuahidi kumpa uongozi wakati wa kampeni kwa sbb ya uchapakazi wake.
myoyambendi JF-Expert Member Sep 13, 2013 147,607 656,090 Feb 18, 2016 #13 uzee na uchovu wa kazi za muda mrefu,mawazo.........
Daudi Mchambuzi JF-Expert Member Nov 25, 2010 62,204 128,020 Feb 18, 2016 #15 unamuonea chatu huruma?
samsun JF-Expert Member Feb 9, 2014 7,386 5,954 Feb 18, 2016 #16 Mimi huwa natamani nione anapovua hiyo kofia huwa anafananaje.
L lokomu JF-Expert Member Apr 25, 2013 4,916 3,503 Feb 18, 2016 #18 hahahaha apo anapiga simu lumumba ila number not reachable....cc toilet paper