Wanajamvi leo hii kila kona kumezagaa skendo ya Diamond ya kufanya utapeli baada ya kupokea advance kutoka kwa promota na kutotokea kwenye shoo huko Arusha, promota anadai alimlipa Diamond advance pamoja na tiketi ya ndege pamoja na kugharamia garama za malazi na chakula lakini kapotezea shoo.
Inavosemekana jana watu waliingia ktk shoo lakini hadi saa nane za usiku jamaa hakutokea kilichofuata ni mashabiki kufanya vurugu na kuharibu ukumbi na madansa wa Diamond kupelekwa lupango.
Swali je huu ndo mwanzo wa kuporomoka kwa Diamond kama enzi zile za kina Mr Nice?
Nawasilisha.
Inavosemekana jana watu waliingia ktk shoo lakini hadi saa nane za usiku jamaa hakutokea kilichofuata ni mashabiki kufanya vurugu na kuharibu ukumbi na madansa wa Diamond kupelekwa lupango.
Swali je huu ndo mwanzo wa kuporomoka kwa Diamond kama enzi zile za kina Mr Nice?
Nawasilisha.