Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 233
Nawaonea huruma sana jamaa hawa, kwani polisi wanatikwa wasiwe wanawabeba pale wanaposhindwa kujibu hoja za CDM hususan kuhusu wizi, ubadhirifu na ufisadi uliokubuhu. Ile sera ya kuifanya CDM chama cha vurugu imetupwa kuleeee!!, na kina Nape sasa wanasaga meno!
Na bao!!!!!
Na bao!!!!!