Masikini akipata...

warumi

R I P
May 6, 2013
16,273
18,380
Mmmh yan Toka Kaka yetu ashinde biko nasikia siku hzi Ana mashauzi, anajikuta sultan, ata kuongea siku hizi kabadilisha, mxieew yan mashauzi yote Kisa pesa za mwanamke, kweli umechelewa kuingia mjini, siku hizi mda wa kurekod single tena huna.

Kwanza nasikia ni anaburuzwa na hyo mkeii, hizo picha anazopost insta kujifanya anakula bata kuturusha roho , nyuma ya pazia anapelekeshwa kama mbwa.

Apo alipo kapewa masharti kibao na huyo dada , yani huyo dada hatakag ujinga, yan bata anakula Ila cha moto Anakiona mwenzenu msimuone hivyo , moyo unawaka moto.

Kwanza bibie anasifika kubadilisha wanaume kila Mwaka , hawezag kukaa na mwanaume mmoja kwa mda mrefu, yan Ana allergy , Sasa kaka yetu ajishaue akijua kafika mwache yamkute na yakumkuta.

Yani mtu umebarikiwa kipaji kizuri sauti unayo, unaamua uache mziki ukadange, mxieew , na nasikia Yule boyfriend wako tena humtaki, na simu zake hupokei, mji mzito huu jaman khaa, kweli pata pesa tujue tabia yako

Girlfriend , mtoto na boyfriend wote umewatelekeza kisa mkeii Ana pesa , mwanakuyatafuta mwanakuyapata, wambea tupo hapa.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mmmh yan Toka Kaka yetu ashinde biko nasikia siku hzi Ana mashauzi, anajikuta sultan, ata kuongea siku hizi kabadilisha, mxieew yan mashauzi yote Kisa pesa za mwanamke, kweli umechelewa kuingia mjini, siku hizi mda wa kurekod single tena huna.

Kwanza nasikia ni anaburuzwa na hyo mkeii, hizo picha anazopost insta kujifanya anakula bata kuturusha roho , nyuma ya pazia anapelekeshwa kama mbwa.

Apo alipo kapewa masharti kibao na huyo dada , yani huyo dada hatakag ujinga, yan bata anakula Ila cha moto Anakiona mwenzenu msimuone hivyo , moyo unawaka moto.

Kwanza bibie anasifika kubadilisha wanaume kila Mwaka , hawezag kukaa na mwanaume mmoja kwa mda mrefu, yan Ana allergy , Sasa kaka yetu ajishaue akijua kafika mwache yamkute na yakumkuta.

Yani mtu umebarikiwa kipaji kizuri sauti unayo, unaamua uache mziki ukadange, mxieew , na nasikia Yule boyfriend wako tena humtaki, na simu zake hupokei, mji mzito huu jaman khaa, kweli pata pesa tujue tabia yako

Girlfriend , mtoto na boyfriend wote umewatelekeza kisa mkeii Ana pesa , mwanakuyatafuta mwanakuyapata, wambea tupo hapa.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Paulo wa bwenini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
SI KILA ASEMALO HUYO BINTI NI KWELI.
MENGINE ANAONGEZEA CHUMVI

Ben pol hana Mambo ya ki chiko na kipuuzi!

then yale Ni maisha yake sijajua huyu binti anataka Nini kuanza kumpaka matope kijana wa watu!

VITU VINGINE KAMA HUJUI NI BORA UKAE KIMYAAA.

nAfuu aendelezee umbeya wake kwa kina wema
Warumi katujuza leo mujini hapa mmmh
 
Mmmh yan Toka Kaka yetu ashinde biko nasikia siku hzi Ana mashauzi, anajikuta sultan, ata kuongea siku hizi kabadilisha, mxieew yan mashauzi yote Kisa pesa za mwanamke, kweli umechelewa kuingia mjini, siku hizi mda wa kurekod single tena huna.

Kwanza nasikia ni anaburuzwa na hyo mkeii, hizo picha anazopost insta kujifanya anakula bata kuturusha roho , nyuma ya pazia anapelekeshwa kama mbwa.

Apo alipo kapewa masharti kibao na huyo dada , yani huyo dada hatakag ujinga, yan bata anakula Ila cha moto Anakiona mwenzenu msimuone hivyo , moyo unawaka moto.

Kwanza bibie anasifika kubadilisha wanaume kila Mwaka , hawezag kukaa na mwanaume mmoja kwa mda mrefu, yan Ana allergy , Sasa kaka yetu ajishaue akijua kafika mwache yamkute na yakumkuta.

Yani mtu umebarikiwa kipaji kizuri sauti unayo, unaamua uache mziki ukadange, mxieew , na nasikia Yule boyfriend wako tena humtaki, na simu zake hupokei, mji mzito huu jaman khaa, kweli pata pesa tujue tabia yako

Girlfriend , mtoto na boyfriend wote umewatelekeza kisa mkeii Ana pesa , mwanakuyatafuta mwanakuyapata, wambea tupo hapa.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Wewe binti,wakati unaleta chai zako humu!
kuwa makini na uletayo

kupitia chai zako ujue kuna wengi unawapotosha?

siku hizi Naona chai haziendi pasipo kuingizia skendo za kishoga na kisagaji?!

ukiambiwa utoe evidence za uchoko wa ben pol unaweza kuutoa?!

je,unaweza kutuwekea huyo boyfriend wake????

Kuwa makini BINTI dunia Ni kijiji
 
Hili povu lote langu mkuu?
Ahh.hapana dada
ila inakuwa tabu kuona watu wanachafuliana CV kisa kufanikisha malengo au kuleta Kiki za kipuuzi!

just imagine sijawahi kukuona then nikaja jukwaani kukufungulia thread kuwa nimekufanya hivi na vile au upo hivi na vile
huoni Kama itakukwaza.

hapa tunazungumzia interm of dignity ya mtu.
huwezi kuichafua kisa upate Kiki kwa chai
 
Ndo maisha yalivyo. Huwezi zuia watu kuongea mkuu
Ahh.hapana dada
ila inakuwa tabu kuona watu wanachafuliana CV kisa kufanikisha malengo au kuleta Kiki za kipuuzi!

just imagine sijawahi kukuona then nikaja jukwaani kukufungulia thread kuwa nimekufanya hivi na vile au upo hivi na vile
huoni Kama itakukwaza.

hapa tunazungumzia interm of dignity ya mtu.
huwezi kuichafua kisa upate Kiki kwa chai
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom