Yap ni static electric hata ukichana nywele kisha ile chana ukaipitisha juu ya vumbi au vpande vidogo vya karatasi huvutwa kama sumakuWana fikizikia wanasema hiyo ni static electricity kama sikosei.
Kumbe nakumbuka fizikia kidogoYap ni static electric hata ukichana nywele kisha ile chana ukaipitisha juu ya vumbi au vpande vidogo vya karatasi huvutwa kama sumaku
Umeme tuli unaopatikana unapotokea msuguano wa materialYap ni static electric hata ukichana nywele kisha ile chana ukaipitisha juu ya vumbi au vpande vidogo vya karatasi huvutwa kama sumaku
Yap ndio hivyoKumbe nakumbuka fizikia kidogo
Electric with no flow of motion static electricAah sasa ndo nimekuelewa kweli bwana
😁🤦😅🤣 Mkuu ulikuwa umekunywa PombeHizo shuka sio kabisa, nilienda kumtembelea ndugu yangu mgeni nikapelekwa chumba kina mashuka ya hivyo, yani kagiza kakiingia ukilipangusa unaona mwanga mweupe mithiri ya cheche. Nikashoboka kuchomeka chaji ya simu nkawasha kabisa, ile nimepanda kwa kitanda sijui ilikuwaje kile kincha cha kuchajia nikakiburuza na goti bahati mbaya, sina hamu nazo hizo shuka mazafanta
Kawaida sana hayo material - na + chargesHabari za mida hii!
Hii kitu huwa naiyona sana hasa usiku nikiwa nataka kulala kama kuna kigiza flani huwa naona kama nikisugua shuka au hata neti naona kuna miale kama vitu vinametameta kwenye mashuka,
Huwa najiuliza ni vitu gani vinavyowekwa kwenye mashuka na neti mpaka unaona zinameta na kutoa miale kama ya moto. Wadau mnijuze
They are real mkuu not hallucinationsVisual hallucinations
🤣🤣😅 Duu aisee balaa hili sasa ulikuwa umekunywa gambe kidogo eeh🧐Kuna guest niliwahi kulala yaani ile nashusha neti nahisi kupigwa shoti, kuichomekea ilibidi nijifunge matisheti mkononi otherwise ilikuwa balaa yaani ukigusa unahisi kama vitu vinalipuka halafu unapigwa shoti. Nililala kwa tabu sana siku hiyo
😀😀Hamna mkuu nilikuwa mzima kabisa🤣🤣😅 Duu aisee balaa hili sasa ulikuwa umekunywa gambe kidogo eeh🧐
Hahaaaaaaaaaaa mbavu sinaNguo zozote zisizo za kotoni huwa na alama kama hizo, Hata mimi binafsi nilikua na tishet za polysta , Wakati nazivaa au kuvua zilikua zinatoa cheche....
Hiyo ni Static Electricity mkuu.Habari za mida hii!
Hii kitu huwa naiyona sana hasa usiku nikiwa nataka kulala kama kuna kigiza flani huwa naona kama nikisugua shuka au hata neti naona kuna miale kama vitu vinametameta kwenye mashuka,
Huwa najiuliza ni vitu gani vinavyowekwa kwenye mashuka na neti mpaka unaona zinameta na kutoa miale kama ya moto. Wadau mnijuze
kwa kuongeza tu hutokea pindi iyo aina ya kitambaa ikipata msuguano na mwili hasa mikono au miguu, hutoka vitu kama cheche za Moto na hua na mlio kama cheche za Moto zinaporuka. KaribuniHabari za mida hii!
Hii kitu huwa naiyona sana hasa usiku nikiwa nataka kulala kama kuna kigiza flani huwa naona kama nikisugua shuka au hata neti naona kuna miale kama vitu vinametameta kwenye mashuka,
Huwa najiuliza ni vitu gani vinavyowekwa kwenye mashuka na neti mpaka unaona zinameta na kutoa miale kama ya moto. Wadau mnijuze